jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 6,963
- 9,401
Mzigo wetu huo,kuna watu wanampiga Mama kimyakimya!!!Duuh, naamini mafuta yatakuwa siyo ya kuja huku Tz. Labda ni meli tu iliyosajiliwa Tz, ila mzigo sio wetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzigo wetu huo,kuna watu wanampiga Mama kimyakimya!!!Duuh, naamini mafuta yatakuwa siyo ya kuja huku Tz. Labda ni meli tu iliyosajiliwa Tz, ila mzigo sio wetu.
Thibitisha!!ya magendo siyo ya wizi.
Hiyo ni meli yao wenyewe wa Iran.
Wamefanya hivyo mara nyingiHiyo itakuwa ni meli ya Zanzibar na siyo Tanzania.
Haya maswala sasa yawe yanabainishwa kisahihi badala ya kutumia jina kufanya uchafu duniani.
Kuiba mafuta ndo unawapa bigup? Dahmeli za Zanzibar hizo, uanfikiri Wazanzibari wana mchezo? Au huelewi maana ya Blue Economy?
Kwasababu Mama kaifungua NchiHaya mambo ingekuwa enzi za JPM mahasidi wake wangeshupaza shingo
Haya njooni mtuambie kwa nini mnakamatwa wakati bahari imetulia na Mungu kaamua
HAMNAZO!!!mazingira yepi hayo? Mbona shemeji zangu wanachapa kazi hapa Tanzania sasa hivi, una team nzima ya wanasheria na Wataalaam, wapo wanaokaa palepale Hoteli yao waliouziwa zamani ya Kilimanjaro Kempinski?
Serena wamekataa kukaa, wanasema ya kishamba hii. Wameshawavua wapangaji wa Dollar 2,00 kwa mwezi huko Masaki, wao wanawalipa hao wapangaji wakatafute kwengie double. nani anakaa? Watu wanafungasha chao wanaenda kutafuta nyumba kwengine. Waarabu wanafanya kufuru sasa hivi Dar.
Watoto wa mjini wote kimya, wanalamba asali tu.
Unaowassikia kupiga kelele ni hawa wa Mbeya na Kagera huko. Tibaijuka and Company wamumizwa sana kaka yao Karamagi kuukosa ulaji.
Kama ripoti za CG zinatufhibitishia kuwa watawala wetu ni majizi, sishindwi kuamini uhusika wao kwenye hili la meliDuuh, naamini mafuta yatakuwa siyo ya kuja huku Tz. Labda ni meli tu iliyosajiliwa Tz, ila mzigo sio wetu.
Utetezi dhidi ya elimu yenye kujenga ufahamu na uelewaHaupo duniani wewe, nenda bandarini kajionee.
Unafikiri kile walichokijenga Kigali ni nini?DP World haipo wacha ndoto... tushazika bado kuanua matanga tu!
DP world Tanzania hatuitaki na mikataba yao ya kitapeli! Hivi hao waarabu wanavyojifanya wana dini inakuaje wanakua matapeli kiasi hiki?Unafikiri kile walichokijenga Kigali ni nini?
Hawapo? umelala wewe.
Wewe upeo na maono yako ni mwisho wa pua yako, DP World wanatazama miaka 100 ijayo.
Ukiwapa usiwape bandari, wana options kibao. Unaweza kona aah hawapo kumbe unaliwa huna habari, ni heri uliwe huku una habari.
Habari wana jukwaa?
Inasemekana meli moja inayopeperusha bendera ya Tanzania imekamatwa na vikosi vya wana maji vya Iran ikiwa na shehena ya mafuta ghafi ipatayo tani 900 ambayo ni ya wizi.