TikTok2020
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 1,816
- 3,150
Acha uongo serikali yenyewe imepanic hakuna kinachoendelea Majaliwa mwenyewe kakiri maoni ya wananchi yatazingatiwa wakishakubaliana sasa inashangaza mwananchi wewe wa kawaida keyboard warrior unadanganya watu soshomidia😏Haupo duniani wewe, nenda bandarini kajionee.
wametajwa majina na uraia wao?Inahusu......kuna sehemu imeandikwa baharia hapo hebu soma tena
Unaijuwa serikali ya Tanzania au unaisikia tu?Acha uongo serikali yenyewe imepanic hakuna kinachoendelea Majaliwa mwenyewe kakiri maoni ya wananchi yatazingatiwa wakishakubaliana sasa inashangaza mwananchi wewe wa kawaida keyboard warrior unadanganya watu soshomidia😏
Unaota.Haupo duniani wewe, nenda bandarini kajionee.
mazingira yepi hayo? Mbona shemeji zangu wanachapa kazi hapa Tanzania sasa hivi, una team nzima ya wanasheria na Wataalaam, wapo wanaokaa palepale Hoteli yao waliouziwa zamani ya Kilimanjaro Kempinski?Unaota.
Na hao waarabu wako zitakuwa haziwatoshi kichwani kuendelea na shughuli hapo Bandarini katika mazingira yaliyopo hivi sasa nchini.
meli za Zanzibar hizo, uanfikiri Wazanzibari wana mchezo? Au huelewi maana ya Blue Economy?Mmeangalia kama meli za kinana ziko ok?
Serikali hii ya CCM nayoijuwa mimi? Usifanye mchezo bana, serikali amabayo inategemewa Afrika nzima?Acha uongo serikali yenyewe imepanic hakuna kinachoendelea Majaliwa mwenyewe kakiri maoni ya wananchi yatazingatiwa wakishakubaliana sasa inashangaza mwananchi wewe wa kawaida keyboard warrior unadanganya watu soshomidia😏
Mimi naamini meli sio yetu na mzigo sio wetu, ila bendera ndio ya TanzaniaDuuh, naamini mafuta yatakuwa siyo ya kuja huku Tz. Labda ni meli tu iliyosajiliwa Tz, ila mzigo sio wetu.
Hii hongo uliyopewa kuwatetea wajomba itakua imetuna sana.DP World watachukwa wao Jet ya mafuta, wanataka wafufue bomba la mafuta la Zambia na waongeze lingine la Gas. kazi iendelee.
Watu tupo Zambia na Congo nyie bado mpo Dar?
Tumechelewa sana kua tunawaibia hawaHabari wana jukwaa?
Inasemekana meli moja inayopeperusha bendera ya Tanzania imekamatwa na vikosi vya wana maji vya Iran ikiwa na shehena ya mafuta ghafi ipatayo tani 900 ambayo ni ya wizi.
---
Iran's Revolutionary Guards seized a tanker holding 900 metric tons of "smuggled fuel" and 12 crew members based on a court order, a report by the semi-official Fars news agency said on July 7.
"A vessel carrying 900 tons of smuggled fuel with 12 crew members was seized by the Revolutionary Guards' Navy patrol vessels in the Persian Gulf with a court order," Fars news reported from Iran's southern port of Bandar Abbas.
No further detail about the ship has been given.
Iran, which has some of the world's cheapest fuel prices due to heavy subsidies and the plunge in the value of its national currency, has been fighting rampant fuel smuggling by land to neighbouring countries and by sea to Gulf Arab states.
British maritime security company Ambrey said on Thursday it was aware of an attempted seizure by Iranian forces of a small Tanzanian flagged tanker, around 59 nautical miles northeast of the Saudi Arabian port city of Dammam.
Iran seizes tanker with 900 tons of 'smuggled fuel'
Iran’s Revolutionary Guards seized a tanker holding 900 metric tons of “smuggled fuel”www.thehindu.com
Hapa ulikusudia kuandika nini?Dollar 2,00
Zilishawahi kukamatwa za Aziz zilizosajiliwa Unguja!ya magendo siyo ya wizi.
Hiyo ni meli yao wenyewe wa Iran.
Teh teh teh 😂😂😂 wewe 'pro-establishment' una propaganda kweli kweli.DP World watachukwa wao Jet ya mafuta, wanataka wafufue bomba la mafuta la Zambia na waongeze lingine la Gas. kazi iendelee.
Watu tupo Zambia na Congo nyie bado mpo Dar?
Unaweza kuta hata hawamjui ila anajichosha bure tu hapa kwa mboyoyo zake.Hii hongo uliyopewa kuwatetea wajomba itakua imetuna sana.
Mazingira gani? Wabongo bana hivi unadhani watu wenye akili zao wataacha kufanya mambo ya msingi kwajili ya wajinga mnaopiga kelele?Unaota.
Na hao waarabu wako zitakuwa haziwatoshi kichwani kuendelea na shughuli hapo Bandarini katika mazingira yaliyopo hivi sasa nchini.
Samahani hivi Meli ikisajiliwa Tanganyika,tunapata faida gani Kama nchi?Usajili wa meli upo hivyo duniani. Panama na Liberia zimesajili meli kibao wakati nchi zenyewe wala hazimiliki hata meli.
Ukishusha gharama ya kusajilia meli, kodi na gharama nyinginezo na ukawa na mazingira mazuri kwa shipping industry mbona wamiliki wa meli wanasajilia kwako kwa wingi.
Huyu bibi ni mnazi sanaUnaweza kuta hata hawamjui ila anajichosha bure tu hapa kwa mboyoyo zake.