Hahahahahhaaha chadema nao wanatoa vitisho ni hv Sheria zitafwatwa kama mmevunja sheria na taratibu za NEC au uchaguzi huyo kibaraka wa mabeberu anatolewa tu then tuone mtafanya nini sasa
Usije ukakimbilia Kenya bwashee kesho siyo mbali!
Sijapanic ila ni aibu kwa JF- Expert Member kuweka POST za ushindanishi wa kijiweni.Usipanic bwashee!
Kesho mtakijua kijiwe cha Membe kilipo!Sijapanic ila ni aibu kwa Expert Member kuweka POST za ushindanishi wa kijiweni.
Yaani mwanasheria ashindwe kujaza form?Mna akili timamu kweli au mmekosa mambo ya kuzungumza na mnashambulia tu hata kwa mambo yasiyo na mantiki?Kweli kujaza form iwe issue?Unajua form ya mgombea urais ndani ya chama inahakikiwa na wanasheria wangapi?Msiwe mazombie bhana!Kwani mara yake ya kwanza kuchukua fomu..? Huyo tayari ana experience ndugu..
Dini kuu!!!Hata akiacha tu kwani nini shida mtu mwenyewe inaonyesha atakuja kutuuza huyu!.. swala la ushoga analiita swala la faragha!! Huyu hafai na Kama ni mkiristu wajue kabisa hapa hakuna kiongozi hata angekuwa dini yoyote tu.. hata zile dini mbili kuu zinapinga hilo swala lkn yeye inaonyesha anamsimamo wa kipuuzi tu japo hasemi rasmi maana anajua atajiharibia.. chadema Mara hii sijui mmeweka muwakilishi gani huyu!!..
Msipomfungia kitu mdomoni walahi utawafedhehesha subirini tu..
Kwanini chadema tu na si vyama vyote vinavyoshiriki?Mgombea Urais wa ACT wazalendo Bernad Membe leo amekwenda kwenye ofisi za Tume ya uchaguzi jijini Dodoma kuhakiki fomu zake kama ziko sawasawa kabla ya kuziwasilisha rasmi hapo kesho 25/08/2020.
Membe aliongozana na viongozi mbalimbali wa chama hicho akiwemo mkuu wa ngome ya vijana Abdul Nondo.
Yohana najiuliza huu utaratibu upo siku zote? Na je mgombea urais wa Chadema Tundu Lisu amehakiki fomu zake?
Maendeleo hayana vyama!
sasa hivi naona MATAGA wote washakuwa mashabiki wa Membe... hahahaaaa!Mgombea Urais wa ACT wazalendo Bernad Membe leo amekwenda kwenye ofisi za Tume ya uchaguzi jijini Dodoma kuhakiki fomu zake kama ziko sawasawa kabla ya kuziwasilisha rasmi hapo kesho 25/08/2020.
Membe aliongozana na viongozi mbalimbali wa chama hicho akiwemo mkuu wa ngome ya vijana Abdul Nondo.
Yohana najiuliza huu utaratibu upo siku zote? Na je mgombea urais wa Chadema Tundu Lisu amehakiki fomu zake?
Maendeleo hayana vyama!
Mila na tamaduni zangu huwa sizungumzii marehemu so kwa hilo sina cha kuongea wala kusema but all in all Chadema mnataka kuona amani inapokosekana huwa kunakuwaje na nakuhakikishia hamtaweza hata kidogoAcha UJUHA wako wewe! Chadema mwingine aliyekosa imani na tumeccm huyu hapa.
View attachment 1546853
Hahahahahha kwa vurugu na maandamano ya nyuma ya keybord na keypad hapo sawa but kwenye reality sidhani kama kuna mtu yeyote anaweza leo ungeniambia CUF ile wanaweza but Chadema hahahahaha hahahahHiv kwa akili yako unafikir hakuna cha kufanya hebu waulize police wa tunduma jana mini kimetokea tatizo mataga matataga sana mwaka huu
Rudi home kumenoga!Mbona unahofu sana kuhusu Lissu? Alikuchukulia mkeo? Mind your own business, ya Ngoswe mwachie NGOSWE.
Aisee wewe ni kabishi sana dogo. Ila nikuambie tuu huyo Membe anafanya hivyo kwa sababu ni maamuma wa sheriaChadema hawana cha kufanya labda kule Pemba kwa akina ngangari!
Mila na tamaduni zangu huwa sizungumzii marehemu so kwa hilo sina cha kuongea wala kusema but all in all Chadema mnataka kuona amani inapokosekana huwa kunakuwaje na nakuhakikishia hamtaweza hata kidogo
Wenzio Moshi wanalia wamepewa fomu feki.....Owenya na Kihwelu wote Chadema!Aisee wewe ni kabishi sana dogo. Ila nikuambie tuu huyo Membe anafanya hivyo kwa sababu ni maamuma wa sheria
"Ongeza sauti kidogo"Zimeandikwa katika lugha gani hizo fomu? Jiwe amekwenda lakini? Kama zimeandikwa kwa Kimombo, namshauri aende kabla hawajafunga ofisi.
Kwanini chadema tu na si vyama vyote vinavyoshiriki?