Uchaguzi 2020 Membe ahsante sana, karibu rasmi CHADEMA. Karibu utuvushe

Uchaguzi 2020 Membe ahsante sana, karibu rasmi CHADEMA. Karibu utuvushe

Ila ubobezi wake ulishindwa kufanya kazi mpaka kina pole pole wakamfukuza uanachama
 
Inawezekana hii ni ngoma inapigwa kati ya ccm na membe chakushangaa wapinzani ndio wachezaji wakubwa kwa kulijuwa hilo ccm na membe wanangoja wachezaji iwakolee kisawa sawa ivunjwe katikati ya usiku wenye kiza kinene
 
Ile kiu ya wapinzani(wapinzani halisi) wa Tanzania kupata mkombozi wa kutuvusha hatimaye imefikia pazuri baada ya Membe kukaribishwa ndani ya chadema na hatimaye kusubiri kuwa mgombea wa urais.

Chadema katika siku ambayo mmefanya jambo la maana na umuhimu sana basi ni hii ya kumpa Membe nafasi ya kutuvusha 2020.

Membe ni mwanamkakati na mbobezi kwenye masuala yote ya intelijensia, hivyo ni mtu sahihi kabisa na muhimu kwa wakati huu kuliko wakati wowote ule.

Membe sio Lissu, Membe ana ushawishi, ana mtaji wa watu wengi sana kitu ambacho Lissu hana na kamati kuu imeona hili suala.
Karibu Membe chadema, karibu utupiganie, karibu utuvushe.

#2020 upinzani tunaenda na Membe#
Mwokozi ni Yesu tu mkuu, wanasiasa watakuacha mdomo wazi one day....
 
Ile kiu ya wapinzani(wapinzani halisi) wa Tanzania kupata mkombozi wa kutuvusha hatimaye imefikia pazuri baada ya Membe kukaribishwa ndani ya chadema na hatimaye kusubiri kuwa mgombea wa urais.

Chadema katika siku ambayo mmefanya jambo la maana na umuhimu sana basi ni hii ya kumpa Membe nafasi ya kutuvusha 2020.

Membe ni mwanamkakati na mbobezi kwenye masuala yote ya intelijensia, hivyo ni mtu sahihi kabisa na muhimu kwa wakati huu kuliko wakati wowote ule.

Membe sio Lissu, Membe ana ushawishi, ana mtaji wa watu wengi sana kitu ambacho Lissu hana na kamati kuu imeona hili suala.
Karibu Membe chadema, karibu utupiganie, karibu utuvushe.

#2020 upinzani tunaenda na Membe#
Hawa jamaa ni wataalam wa kutunga insha tena wamebobea ktk kazi hiyo ukiangalia maelezo yamenyooka usipokuwa makini povu lazima likutoke
 
Wewe ni mpiga deki tu, tulia Membe atuvushe tunaojielewa.
Kama kuwavusha mngempitisha apambane na Magufuli.
Project yenu imeshafeli kabla haijaanza. Mnaenda kabidhi ikulu kwa upinzani mwaka huu. Mwaka 2020 ni mwaka wa Malawi na Tanzania kufanya mabadiriko ya kweli. Msiyempenda TUNDU ANTIPASS LISSU kaja.
 
Ile kiu ya wapinzani(wapinzani halisi) wa Tanzania kupata mkombozi wa kutuvusha hatimaye imefikia pazuri baada ya Membe kukaribishwa ndani ya chadema na hatimaye kusubiri kuwa mgombea wa urais.

Chadema katika siku ambayo mmefanya jambo la maana na umuhimu sana basi ni hii ya kumpa Membe nafasi ya kutuvusha 2020.

Membe ni mwanamkakati na mbobezi kwenye masuala yote ya intelijensia, hivyo ni mtu sahihi kabisa na muhimu kwa wakati huu kuliko wakati wowote ule.

Membe sio Lissu, Membe ana ushawishi, ana mtaji wa watu wengi sana kitu ambacho Lissu hana na kamati kuu imeona hili suala.
Karibu Membe chadema, karibu utupiganie, karibu utuvushe.

#2020 upinzani tunaenda na Membe#
Upinzani wa kwenda Msalani labda, Upinzani halisi unaenda Ikulu na Tundu Lissu
 
Kama kuwavusha mngempitisha apambane na Magufuli.
Project yenu imeshafeli kabla haijaanza. Mnaenda kabidhi ikulu kwa upinzani mwaka huu. Mwaka 2020 ni mwaka wa Malawi na Tanzania kufanya mabadiriko ya kweli. Msiyempenda TUNDU ANTIPASS LISSU kaja.
Kama unampenda sana huyo Lissu kanywe nae chai! Unataka nikupe yaliyo ndani ya chadema kuhusu Lissu?? Subiri jioni hii tumalize kwanza kikao
 
Upinzani wa kwenda Msalani labda, Upinzani halisi unaenda Ikulu na Tundu Lissu
We huna akili, kesho ntawaletea yaliyojiri kwenye kikao cha leo jioni kuhusu Lissu. Mipango yake yote na hila zake zote zishajulikana
 
Kama ni kweli, Membe atapewa fursa agombee kupitia CHADEMA, hili ndio pigo la mwisho kwao baada ya Lowasa kufanya yake

Karibu Chama Kingine kikubwa cha upinzani nchini

The circle continue (NCCR, CUF, CHADEMA.....)
 
Kama unampenda sana huyo Lissu kanywe nae chai! Unataka nikupe yaliyo ndani ya chadema kuhusu Lissu?? Subiri jioni hii tumalize kwanza kikao
😂😂😂 Lumumba mnalo mwaka huu. Ni TUNDU ANTIPAS LISSU tu
 
We huna akili, kesho ntawaletea yaliyojiri kwenye kikao cha leo jioni kuhusu Lissu. Mipango yake yote na hila zake zote zishajulikana
Kakojoe ulale. Kikao labda cha maccm menzako. This time, no more mistake, sio tu kwenye nafasi ya urais, hata ubunge!! Kaeni na makapi yenu!! Sana Sana yapelekeni NCCR au ACT. Tumejifunza
 
Back
Top Bottom