Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
- Thread starter
-
- #121
Muende watu 20 mkafuate 2m, kisha mtarajie kubadilika kimaisha?!
Mwafrica alikuwa lini huru?Tanzania ni nchi huru,hatupangiwi na wageni namna ya kujiongoza.
Halafu hawa mnaowaita mabeberu ndio mnawaomba mikopo na misaada mingineAkihojiwa na idhaa ya kiswahili ya UJERUMANI aliyekuwa mwanaCCM MWENZETU mh. Benard Camillius Membe anatapatapa kwa kujinasibu kuwa na WENZAKE SITA. Akihofia kutowataja majina kwa kuogopa kutimuliwa ndani ya CCM mh. huyu asiyeridhika kwa yote mema na mapungufu aliyotufanyia watanzania akiwa mhudumu wetu pale foreign affairs ametamba kutaka kugombea URAIS kwa njia yoyote atakayoweza
Natoa rai kwa vijana wa ccm waelewe kuwa yale aliyoyaasisi baba wa taifa na yanayotekelezwa kiufasaha na mh.rais magufuli sasa yako msambweni kutoweka kwa kuwiwa na maadui wasioamini katika muktadha mpana wa kujiamulia mambo sisi wenyewe.
Mabeberu na makuwadi wao hawajalala na hawatoacha kutuandama kwa visingizio vya domokrasia,uwazi,tume huru na uliberali koko
Shime wananzengo tuilinde itikadi adhimu ya chama hiki cha wanyonge na kinachosimamia misingi ya uafrika wetu na kisichokubali kupiga magoti kwa mabeberu na makuwadi wao
Membe na wengine wote wanaokaa kimya wakati wa kula, na kupiga kelele wakiwa na njaa siwakubali personal. Ila taratibu zetu za uchaguzi na za utawala zina kasoro kubwa , mbaya na ya kuchukiza. Na lawama zote azibebe marehemu mwl Jk . Aliliona tatizo hili , hakulirekebisha akaishia kuonya.Hali yako MZEE wa Bunda!
Uchaguzi huru anaouongelea Membe NI upi?!!!
Mana dokta slaa nae alidai uchaguzi uliomuingiza madarakani Mh.mzee Kikwete na ukampa uwaziri mh.Membe haukuwa wa huru na haki....yeye MEMBE ALIKAA KIMYA NA KURUDHIKA KUPANDA NDEGE KILA UCHAO...
KUKAJA ILIYOITWA RASIMU YA KATIBA YA WANANCHI,nikumbushe km nmesahau mh.membe ALIWAUNGA MKONO KINA LIPUMBA walipotoka nje ya BUNGE na kuliita ni la "kiintarahamwe"....
Kwake Membe tume huru NI ATAKAPOSHINDA NA kuwa rais yaleyale AILA ya Maalim Seif,chambilecho Shaaban Robert waso haya na mji wao...
Ubeberu ni expanding version ya ubepari...kuwatumia watu na vyao kwa FAIDA yako huku ukiwazuia wao wahanga KUISHI VYEMA KUENDANA NA THAMANI YA WALIOKUWA NACHO NA KUWAMINYA KUJITANUA WAO KIMAENDELEO...Hali yako MZEE wa Bunda!
Uchaguzi huru anaouongelea Membe NI upi?!!!
Mana dokta slaa nae alidai uchaguzi uliomuingiza madarakani Mh.mzee Kikwete na ukampa uwaziri mh.Membe haukuwa wa huru na haki....yeye MEMBE ALIKAA KIMYA NA KURUDHIKA KUPANDA NDEGE KILA UCHAO...
KUKAJA ILIYOITWA RASIMU YA KATIBA YA WANANCHI,nikumbushe km nmesahau mh.membe ALIWAUNGA MKONO KINA LIPUMBA walipotoka nje ya BUNGE na kuliita ni la "kiintarahamwe"....
Kwake Membe tume huru NI ATAKAPOSHINDA NA kuwa rais yaleyale AILA ya Maalim Seif,chambilecho Shaaban Robert waso haya na mji wao...
Mbabe MZEE wa kumeza steroids UUMUKE,hivi hamjamzoea mh.magufuli anapenda kuchomeka utani ili aeleweke kifasaha?jamaa Ana ART YA PUBLIC SPEAKING MITHILI YA MWALIMU NYERERE TOFAUTI YAO NI LAFUDHI TU,MAGUFULI ya kisukuma,baba wa taifa laini ya kimwambaokama Membe ana "dharau na kiburi sana", vipi yule aliyetuambia Watanzania kuwa uteuzi wa viongozi wa wananchi unategemea yeye kaamkaje - kwa kalio ama tumbo??!!
***** labda nchi ya Londo,siyo TZ hii ameshakatwa mkia huyo hana makali yeyote yale.Iwe jua iwe mvua membe anachukua nchi October,nchi zote za magharibi wako nyuma ya membe....membe anasubiri kuapishwa Tu maana kila kitu kipo OK
kweli kabisa, ana "art ya public speaking" kukizidi hichi kivuli chake...M
Mbabe MZEE wa kumeza steroids UUMUKE,hivi hamjamzoea mh.magufuli anapenda kuchomeka utani ili aeleweke kifasaha?jamaa Ana ART YA PUBLIC SPEAKING MITHILI YA MWALIMU NYERERE TOFAUTI YAO NI LAFUDHI TU,MAGUFULI ya kisukuma,baba wa taifa laini ya kimwambao
sisiemu kwa sisiemu benyewe kwa benyewe banakulana, ukiona hivi basi ni ishara ya muda kufika mnyonge kujikwamua kimaisha, wagawane kuni tu kwani hamna namnaAkihojiwa na idhaa ya kiswahili ya UJERUMANI aliyekuwa mwanaCCM MWENZETU mh. Benard Camillius Membe anatapatapa kwa kujinasibu kuwa na WENZAKE SITA. Akihofia kutowataja majina kwa kuogopa kutimuliwa ndani ya CCM mh. huyu asiyeridhika kwa yote mema na mapungufu aliyotufanyia watanzania akiwa mhudumu wetu pale foreign affairs ametamba kutaka kugombea URAIS kwa njia yoyote atakayoweza
Natoa rai kwa vijana wa ccm waelewe kuwa yale aliyoyaasisi baba wa taifa na yanayotekelezwa kiufasaha na mh.rais magufuli sasa yako msambweni kutoweka kwa kuwiwa na maadui wasioamini katika muktadha mpana wa kujiamulia mambo sisi wenyewe.
Mabeberu na makuwadi wao hawajalala na hawatoacha kutuandama kwa visingizio vya domokrasia,uwazi,tume huru na uliberali koko
Shime wananzengo tuilinde itikadi adhimu ya chama hiki cha wanyonge na kinachosimamia misingi ya uafrika wetu na kisichokubali kupiga magoti kwa mabeberu na makuwadi wao
Nihaki kikatiba kugomea nafasi yoyoteAkihojiwa na idhaa ya kiswahili ya UJERUMANI aliyekuwa mwanaCCM MWENZETU mh. Benard Camillius Membe anatapatapa kwa kujinasibu kuwa na WENZAKE SITA. Akihofia kutowataja majina kwa kuogopa kutimuliwa ndani ya CCM mh. huyu asiyeridhika kwa yote mema na mapungufu aliyotufanyia watanzania akiwa mhudumu wetu pale foreign affairs ametamba kutaka kugombea URAIS kwa njia yoyote atakayoweza
Natoa rai kwa vijana wa ccm waelewe kuwa yale aliyoyaasisi baba wa taifa na yanayotekelezwa kiufasaha na mh.rais magufuli sasa yako msambweni kutoweka kwa kuwiwa na maadui wasioamini katika muktadha mpana wa kujiamulia mambo sisi wenyewe.
Mabeberu na makuwadi wao hawajalala na hawatoacha kutuandama kwa visingizio vya domokrasia,uwazi,tume huru na uliberali koko
Shime wananzengo tuilinde itikadi adhimu ya chama hiki cha wanyonge na kinachosimamia misingi ya uafrika wetu na kisichokubali kupiga magoti kwa mabeberu na makuwadi wao
Nyie wanachadema na familia zenu ndio mlio watumwaMwafrica alikuwa lini huru?
Kwi kwi kwi nchi ya LONDO itakayotegemea KILIMO Cha UFUTA kwa Pato lao watakapojenga wizara ya UGANI pale kijijini MKOKA nachingwea***** labda nchi ya Londo,siyo TZ hii ameshakatwa mkia huyo hana makali yeyote yale.
Art kwako ni pale muongea KIINGEREZA atakapohanikiza LAHAJA ya kiskochi au Welshi...kweli kabisa, ana "art ya public speaking" kukizidi hichi kivuli chake...
Msyuuuuu yaani mnyonge kwako NI wale wasikilizao AILA ZA WANYWA FARU DUME KINA MBOWE....yaani mamayangu avaaye kaniki na t-shirt ya kijani KILA uchao aendapo shamba,ile t-shirt yenye picha ya mh.mkapa japo imetoboka haiwachi kwa sbb ya KULE KUHANIKIZA PICHA YA JEMBE NA NYUNDO....eti huyu mamangu SI mnyonge Bali WANYONGE NI wanaomsklza MBOWE Seif na Membe bambaaaaashsisiemu kwa sisiemu benyewe kwa benyewe banakulana, ukiona hivi basi ni ishara ya muda kufika mnyonge kujikwamua kimaisha, wagawane kuni tu kwani hamna namna
Yaani ule utumwa wa kina dada kutumika na WANYWA FARU DUME ili wapitishwe viti maalum kwi kwi kwi kwiNyie wanachadema na familia zenu ndio mlio watumwa
Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
Kwenye hao wenzake sita mmoja wapo ni waziri mkuu!
Koma weeee majaliwa Si mnafiki km alivyo lukuvi...ameshakuwa PM unataka Membe amteue kuwa makamu wa rais bda ya kumbatiza kuwa mzanzibari?!!!