Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Musiba akifilisiwa itasaidia kushape machawa wengi wanaotukana watu na kutaja majina ya watu nakuwapa tuhuma nzito zisizo thibitishwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kama kafulia lakini msiba na ajue ujinga alokuwa anafanya kwa kutumwa na kichaa marehemu ndo yamemfikaHuyo mzee kafulia mpaka anasikitisha.
Sasa kuuza mali za musiba ndio kutamtoa kwenye ukata.
Huoni hizo juhudi weye? Halipi chochote.Jipe moyo badala ukamchangie mhuni mwenzenu mliyempa sapoti
Juhudi kwa shujaa kupiga magoti na kulia lia?Huoni hizo juhudi weye? Halipi chochote.
Kamchangieni Chawa mwenzenu acheni kushoboka JF.Membe ni failure anayetapatapa.
Aliwahadaa ACT wazalendo kwamba ataingia dakika ya 89 na kufunga goli alafu akaishia kufanya kampeni za urais kwenye kijiji cha Rondo
Mimi ni mkatoliki lakini huyu mzee huwa ananikwaza sana.Askofu Pengo Mtetezi wa wauaji
Huwezi kusikia hata siku Moja akitetea wanaoonewa
Swali ni kubwa na lenye mantiki, natamani wangekuwepo hapa watoe majibuHuto Malasusa na Pengo wakati Musiba anatukana na kujidai ataua watu walimushauri kuacha tabia yaKe mbaya?
Sipendi watu wanafiki.
Na kama ametulia kweli, baya ni lipi hapo kupata pesa ya malipo kisheria kutoka kwa mtu aliyekufanyia ubaya??Membe itakua kafulia anataka hela hakuna kingine hapo nimemshtukia.
Hizo mali ziwekwe wazi mahali zilipo. Hilo shamba kama lipo maeneo ya karibu na mjini, ninalihitaji. Nikilinunua nitaligawa kwa kwa taasisi za dini wajenge sehemu ya kuabudia, au kwa wanaotaka kujenga kituo cha kulelea watoto yatima, au eneo la wazi kwa vijana wasio na ajira wafanyie shughuli zao hapo.Membe itakua kafulia anataka hela hakuna kingine hapo nimemshtukia.
Kila siku watu wanarekebisha miandiko kwenye documents tu. Siku miandiko ikikaa sawa hatoboiHahaaa..... wapambe mmeshindwa kumchangua shujaa wenu msiba?
Yuko mwingine alisingizia watu madawa ya kulevya.
Kesi zake zitafunguliwa hata baada ya miak 30 mbele. Ajiandae tu.
Hakuwa na sababu ya ku-appeal akiamini wale maafisa wa TISS ambao marehemu aliwapa ujaji wangetoa hukumu ya kumlinda kama ilivyokuwa inafanyika wakati marehemu akiwa hai.Kwa nini haku appeal mpaka case ifike mahama za EAC, yaani yeye angeenda na mwendo wa ku apeal tu!
Sidhani kama hii case ilifika kwenye Mahakama ya Rufaa!
Well I’m just curious [emoji3166]
Umeandika utumbo tu.Ku-deal na mtu kariba ya Membe ujipange hasa. Huyu ni jasusi si wa kitoto. Ni diplomat maarufu sana huko duniani. Bila Membe Jakaya asingepata Urais na hata baada ya kupata Kuna baadhi ya viongozi duniani asingewafikia. Huyo ni mwandamizi wa Jesuits mbali na kuwa Mwalimu wa ukachero wa M16 ya Uingereza. Niishie hapo maana kwanza ujue Membe anawakilisha wangapi kwenye kesi hiyo?
Kamchangie Musiba. Kumsema vibaya mwenye haki hakuzuii haki yake. Njia mojawapo ya kumchangia, wakati wanapiga mnada apartments zake, unanunua mojawapo. Halafu unamrudishia Musiba ila ibakie kwenye jina lako, la sivyo pesa isupokamilika, ndani ya miaka 10 kunaweza kufanyika mnada mwingine wa vitu vingine alivyo chuma tena.Huyo mzee kafulia mpaka anasikitisha.
Sasa kuuza mali za musiba ndio kutamtoa kwenye ukata.
Majina huumba.Cha muhimu nendeni mkamchangie Mhuni mwenzenu alipe adhabu ya Mahakama.
Musiba amepata musiba wa pili.
Kuuliza Sio ujinga, hizo mali zote zinazotangazwa kupigwa mnada zina hati? Kama zina hati je zote zimeandika Majina yake au kuna zenye Majina ya mke na Watoto?Wakati dalali wa Mahakama kampuni ya Yono (vijana wa kazi) ikihesabu siku zilizobaki katika 14 (siku za kazi) alizolewa mtukanaji Cyprian Majura Musiba kumlipa fidia Kachero Bernard Membe jumla ya shilingi 9.2 Bilioni, Bwana Musiba amewaangukia viongozi wa dini Askofu Alex Malasusa (KKKT Diyosisi ya Pwani) na Kardinali Porlycarp Pengo kumwombea msamaha kwa Membe asipige mnada mali zake.
Taarifa kutoka ndani ya familia ya Membe nyumbani kwake Mikocheni zinaeleza kwamba Jumatatu ya tarehe 24/4/2023 majira ya saa 10 alasiri mjumbe kutoka kwa Pengo alifika kwa Membe kumpa ujumbe wa Pengo kumsihi amsamehe Musiba.
"Alikuja hapa padre wa moja ya makanisa yetu kuleta ujumbe huo lakini naona Mzee alimkatalia na kumwambia 'namheshimu sana baba Askofu Pengo lakini kwenye hili anisamehe yeye (Pengo) huyu kijana lazima alipe gharama ya matusi yake' " anasema mwanafamilia aliyetajwa kwa jina la Colleta na kuongeza:
"Lakini jioni yake ya saa moja Askofu Malasusa naye alimpigia simu Mzee kuongelea suala hilo hilo lakini naye Mzee alimpa majibu yale yale aliyompa mjumbe wa Pengo." Hata hivyo kwa maelezo ya Colleta ni kwamba si tu ni msimamo wa Mwanadiplomasia huyo Bali ni msimamo pia wa familia.
Hii inakuja baada ya jitihada za Askofu Mwamakula pia kugonga mwamba baada ya kumwandikia barua Membe ya msamaha kwa Musiba.
Wakati hayo yakijiri hapa Mikocheni, tayari kampuni ya Yono imeshatua jijini Dodoma itakapoanzia kazi ya mnada kwa kuanza na apartments za Musiba zilizoko Ihumwa, nyumba yake ya Chamwino, guest house yake ya Msalato na shamba la hekari 10 njia ya Singida.
Baada ya hapo Yono atatimba apartment ya Kigamboni, shamba la hekari 5 Bagamoyo kabla ya kugeukia mitambo yake ya uchapaji iliyoko jengo la Exim ghorofa ya 8 jirani na Makao Makuu ya Polisi jijini Dar es salaam.
Ikumbukwe kwamba huko nyuma Musiba alichapa magazeti yake kampuni ya Malindi Printing huko Mbweni ambayo ni mali ya TISS. Jambo hili lilileta ukakasi wa kisheria kwani sheria ya vyombo vya habari (2016) inamtaka mlalamikaji kumshitaki Mwandishi, mhariri, mchapaji na msambazaji. Kwa mantiki hiyo DG wa TISS angetakiwa kusimama kortini. Ili kuokoa jahazi Musiba "alinunuliwa" mitambo mingine Mpya kutoka Ujerumani na kwa "huruma" mwana TISS Membe aliridhia. Nayo itanadiwa baada ya siku 14 kutamatika pamoja na nyumba na mashamba yake ya kijijini nakadhalika.
My take: Vijana tujifunze kitu katika sakata hili la Musiba na Membe kwamba tuwe na akiba ya maneno. Lakini pia akili ya kupewa changanya na zako. Waliokuwa wakimpa akili karibia wote wamemkimbia tena ndio wamekuwa jirani na Membe. Amtegemeae mwanadamu mwisho huwa kama hivi. Musiba kwishney!