Kama haina mamlaka si akachukue form? ACT nacho si chama?Mbona km umepanic Mkuu
Fomu achukue tu ila akubaliane na matokeo
kama hakubali aende ACT ajipime uzito na Magufuli
Naona kiwewe kishaaanza mnamhofia MBOBEZI
Hana jipya huyo, fomu hatapewa aende akashitaki UN au kwa mabeberu wake kama anaoMaccm kwa msg hii watakuwa wana haha kumuokoa yesu wao
Mkuu Pascal Mayalla! uko sawa,Wanabodi,
Benard Membe amesema bado anajishauri kama agombee kumpinga Magufuli sio ili ashinde uchaguzi bali kuunogesha tuu uchaguzi.
Trend hii imepatikana kwa kumsikiliza Membe kwa kutumia analytical listening in between the words, na kubaini kitu kilicho moyoni kwa msemaji japo hajakizungumza expressly but impliedly kupitia matamshi yake.
Time will tell.
Nawatakia Jumapili Njema.
P
Haita fika mwezi wa 9 Chadema hakijafutwa, Membe anaweza kutupwa jela kwa matumizi mabaya ya hela kwenye wizara aliyokuwa akihusumu hapo kabla
Membe bhana mitandao inampaisha tu lakini ukweli huyu jamaa hakuna kitu, mtu mwenye maamuzie Magumu na alikuwa na wafuasi wengi ni Lowasa, tuliuona mtiti wa Lowasa ,huyu anazunguka wee wakati huo anajua ccm jua lilisha zama , ni matumaini hewa kudhani membe ata mshinda Magufuli ccm, mwambieni aangalie upande mwingine ili tuwe na ushindani katika uchaguzi wa mwaka huu.
Wanashindanishwa wapi?
Kwa hiyo?Kuna taarifa ZA chini chini, dhidi ya NEC kukataa kabsa Membe kufukuzwa na taarifa hizo zinadai asilimia 50%ya wananec wanamtaka Membe na hawatakubali taarifa ZA kufukuzwa kwake.