yaaani kweli membe unaongea kwa kujiamini kuwa bila wewe kugombea, uchaguzi hauwezi kunoga?!
nimetafakari sana kauli hii, sina hakika!! kuna nini tusicho kijua sisi watanzania sote ambacho membe peke yake ndicho anakijua ?! mimi sijui ila nimetafakari sana
nimetafakari sana kauli hii, sina hakika!! kuna nini tusicho kijua sisi watanzania sote ambacho membe peke yake ndicho anakijua ?! mimi sijui ila nimetafakari sana