Utamfuata na AK47 wewe kama mwanachama wa ccm?Ofisi gani intampa hizo fomu, Kama anatumwa na K. Kikwete na wanamtandao aende chama chochote maana jumatatu fomu hapewi ofisi yoyote ya CCM, na ajiandae kweli kweli anaemtuma kachelewa angempa urais 2015, watu wa pwani walijiaminisha ccm washaimiliki sasa ndio basi na ccm hamtaikamata tena. Aanzishe vita bwege huyu tutamfuata huko aliko na AK47 tumevumilia sasa basi, ruhusa inachelewa sana, moto auwashe hio wiki ijayo. Hio corona ya Bibi zake.
Acheni huu ujinga kama hakuna wakumpinga mbona mmetoa fomu mojaHuo urais aende akagombee chadema au ACT lakini sio CCM na haita kuja itokee membe awe rais wa tanzania ,hana vigezo wala hata nusu ya kumfikia Dr. Magufuli hakuna wa kumpinga magufuli ndani ya CCM. Over.
Magufuli kafanya nini cha maana?Watu wengi wanaichukulia CCM poa, lakini hawafahamu wamekuwepo hapo tangu uhuru wa Tanzania na sio tu wapo wapo kama wengi wanavyofikiria Wanatekeleza yale ambayo wanasema na kuamua. Kwa yanayotokea kwenye vyama vingine itachukua muda mrefu sana kupata ridhaa ya Watanzania. Mfano mzuri ni utekelezaji wa sera zao chini ya JPM. Hata mataifa ambayo yanaipinga Tanzania yanaona aibu kwa yale ambayo yametelekezwa katika kipindi hiki cha miaka 5.
Ikumbukwe Kamelius Membe ni moja kati ya mawaziri wa mambo ya nje aliyepwaya sana pamoja na Jakaya, ni watu ambao hadithi zilikuwa nyingi bila utekelezaji. Hivi Membe alifanya nini cha maana alipokuwa Waziri? Najaribu kukumbuka tu lakini sioni lolote zaidi ya maloloso. Labda aje hapa atwambie, Watanzania waliteleza tu baada ya Alhaji Mwinyi na Che-Nkapa. I hope it will never happen again.
Magufuli kafanya nini cha maana?
Jk hakutumia bunduki huyu wenu watu wanaigiza kama kuna shwari Ila ukweli wanaogopa kutekwaMgawanyiko mkubwa ulikuwa enzi za JK sio sasa. Hii furahisha baraza na tutarudi hapa baada ya Oct na stori za malalamiko ya kushindwa.
Hakika watu wa upinzani wengi wanatanguliza utumbo kufikiriNinachompenda membe hawezi kukichukia chama chake kisa kagombana na viongozi wake.Hill Ni somo kwa wanachama Wa upinzani
Kama ni kweli povu zanini mpaka mnatoa fomu mojaAise...
Hivi bado kuna wanaowaza kushindana na magu? Yaani kwa hapa tz upinzini kuchukua nchi bado sana labda damu imwagike au umoja wa mataifa uingilie kati ma tume iliopo ibadilishwe
Jk hakutumia bunduki huyu wenu watu wanaigiza kama kuna shwari Ila ukweli wanaogopa kutekwa
Tumememfukuzaaa aendeee mbele huko..Kweni yeye ni chama gani??
Natamani litokee hili kwa namna yoyoteMembe ndiye mgombea wa kiti cha Urais kupitia CCM mwaka huu ni suala la muda tu
Aende akagombee huko huko CCM.Ndio wale wale...kina Lowasa..