Uchaguzi 2020 Membe: Kamati Kuu haina mamlaka ya kunifukuza Uanachama wa CCM bali Halmashauri Kuu ya Taifa. Asema kati ya Juni na Oktoba chochote kinaweza tokea

Uchaguzi 2020 Membe: Kamati Kuu haina mamlaka ya kunifukuza Uanachama wa CCM bali Halmashauri Kuu ya Taifa. Asema kati ya Juni na Oktoba chochote kinaweza tokea

Kama umemsikiliza Membe vizuri, kakiri kuwa Kamati kuu ina mamlaka ya kutoa maamuzi ya mwisho bila kupitia halmashauri kuu.
 
Huo urais aende akagombee chadema au ACT lakini sio CCM na haita kuja itokee membe awe rais wa tanzania ,hana vigezo wala hata nusu ya kumfikia Dr. Magufuli hakuna wa kumpinga magufuli ndani ya CCM. Over.
Umewahi kuusoma katiba?
 
Mwambieni CCM hakuna fomu nyingine. Ilikuwa moja tu na ilikuwa ishaandikwa jina.
Aende ACT labda.
Hamjiamini?
Mtu wenu hamna confidence kama anaweza toboa?
Mbona mnamwogopa sana mzee wa watu?
 
Isingekua sheria inamtambua mshindi wa pili kwa kura nyingi katika uchaguzi Mkuu ili kukiwezesha chama kupata Ruzuku kubwa pamoja na mchango wake katika kupata wabunge wa viti maalum (ambao CHADEMA waliamua kugawana kama vinyumba ndogo vyao) sidhani kama kuna mtu yupo tayari kuingia kwenye ring moja na JPM

Sizungumzii ushabiki bali fikra pana za kuielewa siasa na makando kandoye.
Sasa uoga wa tume huru unatoka wapi?
 
Ofisi gani intampa hizo fomu, Kama anatumwa na K. Kikwete na wanamtandao aende chama chochote maana jumatatu fomu hapewi ofisi yoyote ya CCM, na ajiandae kweli kweli anaemtuma kachelewa angempa urais 2015, watu wa pwani walijiaminisha ccm washaimiliki sasa ndio basi na ccm hamtaikamata tena. Aanzishe vita bwege huyu tutamfuata huko aliko na AK47 tumevumilia sasa basi, ruhusa inachelewa sana, moto auwashe hio wiki ijayo. Hio corona ya Bibi zake.
Usihukumu watu wa pwani..

mbona viongozi wengi wametoka mrima..na hakuna kelele ...

Wangeanza na TI.. .maana ndio wengi kule na mfumo aliweka nyerere mtu wa bara!
Mnavunja katiba ...fomu ziwekwe na kusifanywe figisu..tuone nani down!

Silaha ni akili... .. ndo ujuwe uhuru wa kuchagua ni muhimu....
 
Wakuu mwanaume aliyebaki tz amejinasibu kutangaza kugombea urais 2020 kupitia ccm nimesema mwanaume aliyebaki tz ni baada ya mabaharia kusalimu amri kwa jiwe na kuomba msamaha
 
Jiwe akimalizana na upinzani ni anahamia rasmi CCM,ni mwendo wa goti tu!
1592575.jpg
 
Wakuu mwanaume aliyebaki tz amejinasibu kutangaza kugombea urais 2020 kupitia ccm nimesema mwanaume aliyebaki tz ni baada ya mabaharia kusalimu amri kwa jiwe na kuomba msamaha
View attachment 1486326


Edited hii kaka nenda youtube iko nzima alisema kama CCM wakisema hana tatizo ndo atajaza form hiyo jumatatu hii imekatwa tena ikibidi ifute hii hapa bro
 
Safi sana kamanda Membe wewe ndio mtu pekee anayejitambua vyema cccm nzima.
 
Japokuwa siyo mwanachama wa hivi vyama ila makala hii imenifurahisha kweli.Chukua fomu mheshimiwa tuone mchuano mkali katika ya dimba la ccm
 
Back
Top Bottom