Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Magamba wameanza kuweweseka kisa Membe na sisi ndiyo tunazidisha petrol hadi leo wakimbie jukwaa
Tulia sindano ikuingie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia sindano ikuingie
Membe ndiye mgombea wa kiti cha Urais kupitia CCM mwaka huu ni suala la muda tu
Ameshakuambia fomu iko moja...... Hiyo nyingine mpeni huko Ufipa!Yeye ni mwana ccm na lazima atachukua hiyo form na sisi wana ccm tutamchagua maana ndiyo chaguo letu, Membe hoyeeeeeeee
Mkuu amefanyia mkutano nahisi kijijini kwake,just be flexibleMkuu, huo mkutano sijauelewa kidogo. Hao watu wanaonekana, ndio waliohudhuria, au wamebandikwa tu kunogesha huo ujumbe wake?
Hahahahaaaa toeni ndoto zenu za alinacha hizo apitishwe na nani hata fomu yenyewe akipewa basi aende akatambike, membe sio mwanachama wa CCM hana hadhi ya kuchukua fomu
Hiyo fomu atapewa na nani
Mbona kuna taarifa fomu zili tengenezwa za mgombea mmoja tu?? Halafu sio mgombea urais bali mgombea wa vyombo vya dola..
Wame edit, epuka kusambaza hiyo picha whatsapp utaishia pabaya. Membe anajiandalia njia 2025. Baada ya hili tukio atajitokeza kuomba msamaha asamehewe, atalia sana na kupiga magoti.
Ofisi gani intampa hizo fomu, Kama anatumwa na K. Kikwete na wanamtandao aende chama chochote maana jumatatu fomu hapewi ofisi yoyote ya CCM, na ajiandae kweli kweli anaemtuma kachelewa angempa urais 2015, watu wa pwani walijiaminisha ccm washaimiliki sasa ndio basi na ccm hamtaikamata tena. Aanzishe vita bwege huyu tutamfuata huko aliko na AK47 tumevumilia sasa basi, ruhusa inachelewa sana, moto auwashe hio wiki ijayo. Hio corona ya Bibi zake.
Mtampigia kura Membe?Werawera wera wera wera wera wera wera wape salaaaaam wale mataga
Membe: Kuhusu suala la urais hilo halina mjadala, nitajitosa na nitashindaLabda ndio hiyo fomu moja ya Chadema atapewa Membe!
Naomba nitunze hii for future use.Ofisi gani intampa hizo fomu, Kama anatumwa na K. Kikwete na wanamtandao aende chama chochote maana jumatatu fomu hapewi ofisi yoyote ya CCM, na ajiandae kweli kweli anaemtuma kachelewa angempa urais 2015, watu wa pwani walijiaminisha ccm washaimiliki sasa ndio basi na ccm hamtaikamata tena. Aanzishe vita bwege huyu tutamfuata huko aliko na AK47 tumevumilia sasa basi, ruhusa inachelewa sana, moto auwashe hio wiki ijayo. Hio corona ya Bibi zake.