Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndani ya ccm Kuna democrosia mkuu hivyo atapewa form na katibu mkuu wa ccm ili atumie haki yake ya kikatibaHiyo fomu atapewa na nani
Labda chama kingine na sio CCM hii ninayo ijua mimi chini ya mwenyekiti makini na shupavu PJMChama chake ni ccm na bado ni mwana ccm
Vijana wa chuo mna tabu sanaHuo urais aende akagombee chadema au ACT lakini sio CCM na haita kuja itokee membe awe rais wa tanzania ,hana vigezo wala hata nusu ya kumfikia Dr. Magufuli hakuna wa kumpinga magufuli ndani ya CCM. Over.
Hivi uwezi kutetea hoja yako bila kutaja matumizi ya silaha sijui AK 47.... hivi ukipewa unaweza kuitumia kweli au unadhani ni kulenga na kupull triger eh ....... acheni vitisho vyenuOfisi gani intampa hizo fomu, Kama anatumwa na K. Kikwete na wanamtandao aende chama chochote maana jumatatu fomu hapewi ofisi yoyote ya CCM, na ajiandae kweli kweli anaemtuma kachelewa angempa urais 2015, watu wa pwani walijiaminisha ccm washaimiliki sasa ndio basi na ccm hamtaikamata tena. Aanzishe vita bwege huyu tutamfuata huko aliko na AK47 tumevumilia sasa basi, ruhusa inachelewa sana, moto auwashe hio wiki ijayo. Hio corona ya Bibi zake.
Kuna mtu kachukua form ya kugombea uongozi wa vyombo vya dola. Sasa mwenzake anaenda kugombea urais wa JMT
Mbona mnamuogopa sana Membe. Mwacheni achukue form mumshinde kwenye kuraHahahahaaaa toeni ndoto zenu za alinacha hizo apitishwe na nani hata fomu yenyewe akipewa basi aende akatambike, membe sio mwanachama wa CCM hana hadhi ya kuchukua fomu
Wahenga wanasema "Bora ya jini kuliko shetani."Huo urais aende akagombee chadema au ACT lakini sio CCM na haita kuja itokee membe awe rais wa tanzania ,hana vigezo wala hata nusu ya kumfikia Dr. Magufuli hakuna wa kumpinga magufuli ndani ya CCM. Over.
Mtampigia kura Membe?
Mwenye nchi yake membe anarudi October hongera Sana mheshimiwa membe
Ofisi gani intampa hizo fomu, Kama anatumwa na K. Kikwete na wanamtandao aende chama chochote maana jumatatu fomu hapewi ofisi yoyote ya CCM, na ajiandae kweli kweli anaemtuma kachelewa angempa urais 2015, watu wa pwani walijiaminisha ccm washaimiliki sasa ndio basi na ccm hamtaikamata tena. Aanzishe vita bwege huyu tutamfuata huko aliko na AK47 tumevumilia sasa basi, ruhusa inachelewa sana, moto auwashe hio wiki ijayo. Hio corona ya Bibi zake.
Mbona chadema mnahangaika kuiona CCM ikipata mgogoro?
Membe alikwisjafutika kwenye mawazo ya CCM.
Ni vema mkajikita kupanga safu za wagombea wenu wa ubunge badala ya kuhangaika na CCM maana hii ccm sio ile ya JK ambayo mlikuwa mkiisumbua.
Hii ni CCM chuma JPM.
Nyie kalieni kudandia hoja badala ya kuangalia kule kina Mdee wanakimbiwa na makampeni managers!
Au rekebisheni huyu mzee wa faru john. [emoji116]
View attachment 1484853