Bulamba
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 13,741
- 13,049
Asipewe fomuMbona km umepanic Mkuu
Fomu achukue tu ila akubaliane na matokeo kama hakubali aende ACT ajipime uzito na Magufuli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asipewe fomuMbona km umepanic Mkuu
Fomu achukue tu ila akubaliane na matokeo kama hakubali aende ACT ajipime uzito na Magufuli
Hivi Mzee Lowasa aliwahi kusema nini kipindi anaondoka CCM? Membe nakuhakikishia ataomba msamaha maana CCM ni mfumo na siyo kikundi.Hawezi omba msamaha hata iweje
Vita za kijasusi hazitabiriki. Ila inategemea nani yupo smart na anauwezo kiasi gani. Up to this moment hii ni vita mbaya sana kutokea ndani ya ccm na itatikisa chama as I told ye on last thread ccm kutikisika. Japo iman yetu kuna ushindiWewe unafikiri inawezekana mkuu?
Lazima utambue kuwa huyo Membe ana "backup" nzito sana nyuma yake.......Anaweza kuitwa kwa mashauriano au kutekwa wakati wowote licha ya ukweli kuwa hata hiyo form hawezi kupewa kwa maagizo ya Jiwe.
Mkuu that will never happen kwa CCM. CCM ni mfumo, ina think tank kubwa sana. Mpaka sasa walishafanya analysis ya threat ya Membe na wanajua mwisho wake ambao ni kuomba msamaha. Sema anachokifanya kwa sasa ni kutengeneza vuguvugu ili 2025 asisahaurike, wenye akili wala hawahangaiki naye.Vita za kijasusi hazitabiriki. Ila inategemea nani yupo smart na anauwezo kiasi gani. Up to this moment hii ni vita mbaya sana kutokea ndani ya ccm na itatikisa chama as I told ye on last thread ccm kutikisika. Japo iman yetu kuna ushindi
Kwanini hakuna wa kumpinga Magufuli ndani ya CCM? Je! Ni urais alionao sasa au uenyekiti wa CCM?Huo urais aende akagombee chadema au ACT lakini sio CCM na haita kuja itokee membe awe rais wa tanzania ,hana vigezo wala hata nusu ya kumfikia Dr. Magufuli hakuna wa kumpinga magufuli ndani ya CCM. Over.
Vita za kijasusi hazitabiriki. Ila inategemea nani yupo smart na anauwezo kiasi gani. Up to this moment hii ni vita mbaya sana kutokea ndani ya ccm na itatikisa chama as I told ye on last thread ccm kutikisika. Japo iman yetu kuna ushindi
Mkuu that will never happen kwa CCM. CCM ni mfumo, ina think tank kubwa sana. Mpaka sasa walishafanya analysis ya threat ya Membe na wanajua mwisho wake ambao ni kuomba msamaha. Sema anachokifanya kwa sasa ni kutengeneza vuguvugu ili 2025 asisahaurike, wenye akili wala hawahangaiki naye.
Nimeisikiliza speech yake kimsingi hana jipya wala la maana naona anajifariji tu na watoto wake walio mzunguka kumpigia makofiMembe anasema:
Nimetafakari wito wa Watanzania. Mchakato wa Uchaguzi ulipoanza sikuamini tungefanya uchaguzi kutokana na hali ya Corona. Nilitarajia ungefanywa uchambuzi mkubwa sana kabla ya kuamua kuingia kwenye uchaguzi katika mazingira haya.
Nilihoji, tunaweza kwenda kwenye Uchaguzi bila Tume Huru ya Uchaguzi? Jibu likawa – tuwe na Tume Huru. Lakini, safari hii Waangalizi wa Uchaguzi wa Kimataifa hawatakuwepo. Je, tuko tayari kuwa na Uchaguzi usio na waangalizi wa Kimataifa?
Kuhusu kugombea ndani ya CCM:
Tumefikia uamuzi kuwa sisi hatujamkosea mtu, hatujawa wahalifu, na hatuna uoga na tunajiamini. Tunayo haki kabisa ya kugombea Urais kwakuwa tunalindwa na Katiba na si utamaduni. Tunamheshimu Mwenyekiti na tunaiheshimu Kamati Kuu. Walichokisema kilikuwa ni mapendekezo na yatafanyiwa kazi na Halmashauri Kuu ya Taifa ambayo itafanyika mwezi Julai. Chombo kinachotoa adhabu ndani ya CCM ni Halmashauri Kuu ya Taifa; bahati mbaya Kamati Kuu wao walitamka kuwa “Membe tumemfukuza” na hawana mamlaka hayo.
Kamati Kuu ya CCM inaweza ikakataa, ikasema tulichoamua – tumeamua… Inaweza kabisa ikakataa! Ikikataa, sitoweza kwenda Dodoma kuchukua fomu. Kunikataa mimi kugombea ndani ya CCM, Uchaguzi haunogi. Mimi sitakwenda Dodoma mpaka Kamati Kuu itakaponiambia kuwa nipo huru kufanya hivyo, siko tayari kuingia kwenye mtego. Lazima tupate ridhaa!
Nisipopata ridhaa, tunakitakia chama chetu kila la heri. Uchaguzi ni Oktoba, sasa ni Juni… Chochote kinaweza kutokea hapa katikati. Nawaomba vijana tulieni, msilete ghasia zozote. Hatujui Mungu alichotupangia, tusitoe hukumu mapema! Tuwe na imani, yote tumwachie Mwenyezi Mungu.
Video hii hapa:
View attachment 1484912
Kwanini hakuna wa kumpinga Magufuli ndani ya CCM? Je! Ni urais alionao sasa au uenyekiti wa CCM?
Labda kama kuna video nyingine,ila kwa hii uliyoisikiliza wewe mhh.Wanabodi,
Benard Membe amesema bado anajishauri kama agombee kumpinga Magufuli sio ili ashinde uchaguzi bali kuunogesha tuu uchaguzi.
Trend hii imepatikana kwa kumsikiliza Membe kwa kutumia analytical listening in between the words, na kubaini kitu kilicho moyoni kwa msemaji japo hajakizungumza expressly but impliedly kupitia matamshi yake.
Time will tell.
Nawatakia Jumapili Njema.
P