Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Mkuu hongereni kwa hayo maono yenu. Hivi kweli tatizo la sasa ni aina ya mgombea wa upinzani au kutokuwepo kwa tume huru ya uchaguzi? Nisiwe mnafiki, kumchukua Membe kuwa mgombea wa upinzani, ni kosa kubwa kuliko lile kosa walilofanya wapinzani la kumchukua Lowassa 2015.
Ni wapi tunakwama, mbona tatizo la msingi lipo wazi kuwa tume kutokuwa huru ndio tatizo la msingi lilipo? Bila tume huru ya uchaguzi, ni wendawazimu wapinzani kushiriki huo utapeli uitwao uchaguzi.
Ni wapi tunakwama, mbona tatizo la msingi lipo wazi kuwa tume kutokuwa huru ndio tatizo la msingi lilipo? Bila tume huru ya uchaguzi, ni wendawazimu wapinzani kushiriki huo utapeli uitwao uchaguzi.