Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Demokrasia ni pamoja na Membe kukubali kushindwa.CCM acheni roho mbaya,toeni fomu ya kugombea urais ili Membe achukue.Demokrasia imewekwa kwapwani ndani ya CCM.CCM lazima mjue mnachukiwa sana kwa kitendo hiki.Mtasababisha mpasuko mkubwa sana kuliko ule wa 2015
Hasilete chokochoko atakuja kujutia maisha yake yote.
Magufuli hajaribiwi