Uchaguzi 2020 Membe: Kuhusu suala la urais hilo halina mjadala, nitajitosa na nitashinda

Bahati nzuri na Katiba ya Chama hicho ikaruhusu, nongwa inatoka wapi sasa!
 
Bahati nzuri na Katiba ya Chama hicho ikaruhusu, nongwa inatoka wapi sasa! Watu pekee wanaopiga kelele kuita wenzao sio wazalendo ni kina musiba ambao wanasumbuliwa na mfupa walionao mdomoni.
 
Membe kuwa Rais!! Hapana kwa kweli. Heri ya Magufuli wetu. Tumwombee Magu,aache hofu ajiamini;awe na hekima na busara,aache kiburi.
Mungufuli ni jiwe na jiwe haliwezi kuwa mkate mimi nitaomba awe mwehu aanze kulopoka maovu yote aliyotenda.
 
Membe
Tulia mkuu 2020 utamuona Membe akimpigia Magufuli kampeni.
 
Tatizo kampeni za Africa zinaitaji pesa nyingi na Huyu ameshaliona hilo.

Kwa mtazamo wengi, B.M anatafuta sababu za kufukuzwa CCM au jina lake kukatwa kwenye mchakato aende Kugombea kupitia ACT.

Kuna ukaribu sana wa kiongozi wa ACT na wale ambao mawasiliano yao yaliyodukuliwa. Na siku za karibuni kumekuwa na kauli kutoka ACT za kuunganisha nguvu uchaguzi ujao.

Tatizo litakuja ACT kupata wadhamini kuchangia kampeni zao.
Hawa wameshavutwa
R.A - ameshasogezwa karibu
M.D - Huyu zilikuwa hazipandi na Mkuu wetu toka enzi za sakata la kusafirisha boti.Nani rafiki wa February. Lakini Mkuu ameona hakuna namna zaidi kumvuta karibu na juzi walionekana kwenye ufunguzi flani pamoja.

Usishangae yule aliyekuwa Yanga, Y.M. Naye anaanza kuvutwa na kufanywa rafiki.
Na mtu kama yule tajiri mkubwa wa africa matatizo yake kutatuliwa na kupewa kipaumbele kwenye mambo yake!

Tatizo ni yule wa risasi za miguuni ambaye bado yupo kwenye matibabu nje ya nchi. Akirudi anaweza kuaribu ndoto ya B.M!
 
Kaka una akili kubwa Sana. Binafsi nimekuelewa vema
 
Kwani Magufuli ana sifa ????????
 
Inavyoonekana hata EL alitarajiwa kustaafia opposition lakini ile mialiko kutoka jumba jeupe imemrudisha alikotoka...
Maji huwa hayasahau baridi...
 
Labda kwa kutumia chadema .. bado tuna imani na magufuli
 
Membe kuwa Rais!! Hapana kwa kweli. Heri ya Magufuli wetu. Tumwombee Magu,aache hofu ajiamini;awe na hekima na busara,aache kiburi.
Hawezi kuacha kibri. Atajuta kujaribu kuua upinzani. Hakujua maneno ya baba wa taifa kuwa upinzani wa kweli utatoka ndani ya CCM?
 
kwahiyo mimi nikisema nagombea jimbo la mtama 2020 kushindana na mbunge wa sasa ni uhaini huo?
Huo ni uhaini dhidi ya mbunge halali wa jimbo hilo anayeishi na kulitawala jimbo mpaka atakaporuhusu mtu mwingine agombee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…