Uchaguzi 2020 Membe: Kuhusu suala la urais hilo halina mjadala, nitajitosa na nitashinda

Kwaiyo mwanahalisi sikuhizi ni taasisi ya TISS au?
 
Tusiandikie mate na wino ungalipo, tusubiri tuone
 
Umenena vyema. Ushindani wa haki ni muhimu kwa amani na maendeleo ya kweli. Asiyetaka ushindani hatufai na atupishe.
Nchi kwanza 'individuals' baadae. Go Membe
 
Huyu mzee aandike maumivu. Yale yale ya Maalim Seif kule visiwani, kama haipo tambua kuwa haipo tu, there is nothing he can do.
 
Tegemeo letu pekee ni jasusi mbombezi.
 
pole stomach defender.
 
mwenye sifa ni mama ako au?
 
Napendekeza Jiwe akabadili katiba haraka bungeni aweke kipengele kuwa mtu haruhusiwi kuwania urais kama siyo Rais wa nchi.. Jiwe fanya chap chap jembe langu maana nakuaminia kwa kupendekeza sheria za matango pori.
Sheria za majitaka
 
Sio utamaduni wa Ccm.
JP lazima aendelee na awamu ya pili.
 
umeongea kimkakati kama mwandani wa Bashiru.
 
Duh!
JF ya siku hizi hata kujibu comment za wachangiaji inahitaji moyo sana!

Wewe kwa uzoefu wako hapa ulipaswa angalau ujitofautishe na kundi la instagram lililovamia JF lakini umeshindwa!

Samahani kama nimekukwaza!
Empty skulled kabisa unajiona mjuaji kumbe mavi ya paka tu.
 
Kama anafanya mazuri na ana ungwa mkono na kila mtu hapaswi kuwa mwoga kupigwa.
Watu washapima maji na kujua watayavuka ndo maana wanajitosa
 
Kwani chama cha baba yako mpaka afukuzwe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…