Uchaguzi 2020 Membe: Mimi nilitafuta wadhamini kimya kimya kukwepa mtego wa kuvunja kanuni na kuanza kampeni mapema

Membe ni mwanaccm mwenzetu msimwamini Sana wapinzani IPO siku atarudi. Ushahidi kauli Kama hiyo.
 
Watu tuliwaonya humu mapema MTU huyu ashauriwe, ndo huko kujirank you everything, yaani umuch know mpaka inakupelekea kutoa boko.
 
Kama kampeni hata Magu amefanya sana tena na kualika wasanii kabisa. Pale anachukua form pia alifanya kampeni tena na kuinadi ilani ya ccm. Alisema ilani ya mwaka huu ni kubwa kuliko hata ya 2015. So kama ni kukatwa yeye ndio akatwe.
 
Membe naye mjinganjinga alitakiwa kubabiki ccm mpinzani gani mwoga analeta unafiki wa ccm na siasa za analog wapinzani wanafanya siasa za kidigital muda mrefu, Membe bodo yuko nyuma sana aAchane na upinzani amefeli kabla ya kuanza
QUOTE]
Mkuu una akili kishenzi. Membe ni kama anamfitini Lissu lakini hawatafanikiwa. Kama kampeni hata Magu amefanya sana tena na kualika wasanii kabisa. Pale anachukua form pia alifanya kampeni tena na kuinadi ilani ya ccm. Alisema ilani ya mwaka huu ni kubwa kuliko hata ya 2015. So kama ni kukatwa yeye ndio akatwe.
 
Hakuongelea habari ya kuanza kampeni mapema na kuvunja kanuni, maneno yake yalikuwa haya "ACT-Wazalenda waliamua kutafuta wadhamini kmyakimya ili kuepuka kuteleza"
 
Membe kaanza kampeni ya kumuengua Lissu mapema kwa hii kauli yake ya KINAFIKI, na tunamshukuru Mungu kwa kutuonyesha uchafu wa nia yake mapema!
NB: ZITTO KABWE JIHADHARI SANA NA HUYO JAMAA, 'TISS OPERATIVES NEVER RETIRE ALIVE!'
πŸ˜…
πŸ‘Š ✌✌✌πŸ’₯
 
Mwambie atembelee kwenye official page ya magufuli ya facebook aone jinsi anavyofanya kampeni. Wanatufanya watanzania wajinga sana hawa vilaza!!!
 
Nyie si mmesema mtamkata, haya mkateni. Unafikiri watanzania ni wajinga kiivyo eeeh????
Mkuu Lord sikia, ukiwa much know, wakati mwingine unaweza toa boko. Kuna uzi nliutuma humu, ukiwa wa mlengo huu.
 
Mkuu Lord sikia, ukiwa much know, wakati mwingine unaweza toa boko. Kuna uzi nliutuma humu, ukiwa wa mlengo huu.
Usiamishe Goli! Niambie kwa muktadha wa mada hii hapa, Lissu katoa boko wapi na kwenye nini???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…