Uchaguzi 2020 Membe: Naufahamu uwezo wa Lissu, nitahakikisha anapata kazi kwenye serikali yangu

Uchaguzi 2020 Membe: Naufahamu uwezo wa Lissu, nitahakikisha anapata kazi kwenye serikali yangu

Membe yuko live anafanya mahojiano na redio Tehran mida hii na ameulizwa kuwa kuendelea kwake na harakati za kampeni haoni kama zinamuhujumu Lissu na upinzani kwa ujumla?

Membe amejibu kwa kuwa yeye anaongoza kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali anaona ingekuwa busara kwa upinzani kama wangeweka nguvu pamoja na kumsupport yeye, pia amedai anaufahamu vizuri uwezo wa Lissu kisheria na hivyo kumhakikishia kazi katika serikali yake mpya kadri ya katiba itakavyoruhusu.

Wakuu yapi maoni yenu?
Maoni yangu haya hapa
JamiiForums-1617535992.jpg
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Membe yuko live anafanya mahojiano na redio Tehran mida hii na ameulizwa kuwa kuendelea kwake na harakati za kampeni haoni kama zinamuhujumu Lissu na upinzani kwa ujumla?

Membe amejibu kwa kuwa yeye anaongoza kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali anaona ingekuwa busara kwa upinzani kama wangeweka nguvu pamoja na kumsupport yeye, pia amedai anaufahamu vizuri uwezo wa Lissu kisheria na hivyo kumhakikishia kazi katika serikali yake mpya kadri ya katiba itakavyoruhusu.

Wakuu yapi maoni yenu?
Mkuu Unataka tukae hapa kumjadili kichaa?
 
Membe yuko live anafanya mahojiano na redio Tehran mida hii na ameulizwa kuwa kuendelea kwake na harakati za kampeni haoni kama zinamuhujumu Lissu na upinzani kwa ujumla?

Membe amejibu kwa kuwa yeye anaongoza kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali anaona ingekuwa busara kwa upinzani kama wangeweka nguvu pamoja na kumsupport yeye, pia amedai anaufahamu vizuri uwezo wa Lissu kisheria na hivyo kumhakikishia kazi katika serikali yake mpya kadri ya katiba itakavyoruhusu.

Wakuu yapi maoni yenu?
Muacheni. Mzee kavurugwa.
 
Membe yuko live anafanya mahojiano na redio Tehran mida hii na ameulizwa kuwa kuendelea kwake na harakati za kampeni haoni kama zinamuhujumu Lissu na upinzani kwa ujumla?

Membe amejibu kwa kuwa yeye anaongoza kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali anaona ingekuwa busara kwa upinzani kama wangeweka nguvu pamoja na kumsupport yeye, pia amedai anaufahamu vizuri uwezo wa Lissu kisheria na hivyo kumhakikishia kazi katika serikali yake mpya kadri ya katiba itakavyoruhusu.

Wakuu yapi maoni yenu?
Membe ni comedian mzuri tu sijui kwa nini hajakitambua kipaji chake hiki angekuwa zaidi Bill Cosby
 
Mchezaji anaamua kupiga wachezaji wenzake chenga dakika ya 89 hee kamlamba mpaka kipa wake chenga kabakia peke yake je atapaiza ama ataweka kimyani
Dakika ya 89.5 Mshambuliaji wa ACT anacheza na Mpira kwny mstari wa goli wa timu yake
 
Huyu kachero mbobezi hana tofauti kubwa sana na Dr. Shika. This guy is delusional. Anaishi dunia yake mwenyewe kwenye fikra zake.
 
Watu dizaini ya Membe wapogi

Uchaguzi uliopita counter attack ya dk za mwisho ya Slaa na Lipumba ilikuwa hatarii zaidi

Nasita kumpuuza
 
Back
Top Bottom