Amesahau pia chadema walimdukua kubenea na komu wakipanga njama za kumuondoa sultani mboweHa ha Dogo bhana, nakumbuka jinsi Lema alivyompokonya Mwigamba Kompyuta na kuiba nyaraka huenda bado ulikuwa shule. Kimsingi Mleta hoja kaibua jambo zito ambalo linahitaji majibu na sio kejeli.
Tofauti na mimi Profile picha yako ina ujumbe mzito sana kwa jamii, ila maoni yako yanafanana na kuendana kabisa na profile picha ya kwangu.Hivi ni sehemu gani ya mwili wa binadamu ukiigusa inatoa harufu kali? Alimaanisha hivyo!
Kwahiyo Membe na katibu kata walikuwa chumbani?Mi nimesema kudukua maongezi ya watu ya chumbani ni ujinga,ushamba na kutojiamini!
Ndivyo ninavyomtaka afanye kweli kama alivyoahidi!
Mkuu;Tumpe muda anajiandaa kunuka!!, Kwan hata hao waliomfukuza hawakuchukua maamzi hayo siku hiyohiyo. Walitafakari wakaamua juzi, nafikiri anasubiri wambambikizie hizo money laundering ndio aanze kunuka.suala la yeye kufukuzwa ccm alilijua mapema na alitaafuta mlango wakutokea ili awe huru kuisema.
Mkuu;Ataloga. 😂
Mkuu;Kikavu hakinuki tena
Mkuu;Itakuwa kwa sasa yupo maliwato anajipaka nanii.......soon harufu itaanza kusambaa.
Mkuu;It's true ameguswa, na alikuwa anuke, au akinukishe, lakini tumeisha mshauri
Membe, Japo Umeonewa, Usifanye Kosa la Lowassa!, Ila CCM ya Ajabu!, Uamuzi based on Illegal Evidence ni Void Ab Initial!.
P
Mkuu;Kabla ya kumfukuza Uanachama alikaushwa akawa kama Kaukau ili kuhakikisha hatonuka
Sent using Jamii Forums mobile app
Haiwezi kutokea sababu JK ni smartVuta picha press conference ya membe galfa anashuka membe akisindikizwa na JK🇹🇿🇹🇿
Kaonewaje? Kamati kuu na halimashauri kuu vyote vimuonee mtu! sijaielewa. Kama hivyo vikao vya juu vinaweza kumuonea mtu ni wapi mwanaccm atapata haki yake?It's true ameguswa, na alikuwa anuke, au akinukishe, lakini tumeisha mshauri
Membe, Japo Umeonewa, Usifanye Kosa la Lowassa!, Ila CCM ya Ajabu!, Uamuzi based on Illegal Evidence ni Void Ab Initial!.
P
Hii subira ya siku hizi inavuta bangi..... Tutegemee loloteNgoja tuendelee kumsubiri. Subira yavuta heri sio?