TANZIA Member deo paul55 wa JamiiForums afariki dunia

Mwenyezi Mungu aipumzishe roho yake mahala pema peponi
 
Apumzike kwa amani


Tutakukumbuka daima kwamchango wako namaono yako.

Amen[emoji120]
 
Pole kwa familia, pole kwa jf Mungu amweke Maliki pema peponi. Amina
 
Utumbo kujifunga/Intestinal obstruction.

Hili tatizo limekuwa kubwa sana mtaani ila halipewi attention kubwa sana na wadau kama mabusha,matende,minyoo etc.

Ukilipata hilo tatizo kuchomoka labda hospital zinazoeleweka,wengi wanafia vyumba vya upasuaji.

Nilimpoteza mwanafamilia pia 2002 kwa tatizo hili.
 
Rest in peace, Mungu akuepushe na adhabu ya kaburi.. ameeni

"Ee mwenyezi Mungu naomba unipunguzie uchungu wa mauti na ninaomba kifo chema siku zangu zitakapo timia"😭😭
 
R.i.p kijana mwenzangu.



Hivi hizi info za watu mnazipataje akati tunatumia fake IDs?, Nawaza siku nami nikifa zitashushwa nondo zangu humu hatari.
Mie Binafsi natamani watu kadhaa wanijue hivi sasa na ID yangu fake ili siku yangu ikifika anayenijua na yeye yu hai bado atoe taarifa zangu halisi
 
Niliyeandika hapa na wewe unayesoma, sote njia yetu ni moja, Naipa familia yake pole sana. Jamiiforums: uongozi na members wote nawapa pole sana! Apumzike kwa amani.

πŸ™πŸ™πŸ™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…