TANZIA Member deo paul55 wa JamiiForums afariki dunia

TANZIA Member deo paul55 wa JamiiForums afariki dunia

Blessed are You, Lord, our God, King of the universe, the Judge of Truth

ברוך אתה ה' אלוהינו מלך העולם, דיין האמת.

Barukh atah Adonai Eloheinu melekh ha'olam, dayan ha-emet.
 
Death is not the opposite of life, but part of it" R.I.P brother
 
Pole sana,hili tatizo itakuwa alichelewa kugundua,kucheck afya ni muhimu sana,,
 
Huyu ni moja ya memba tuliekua nae humu kwa muda mrefu. Ni moja ya watu walionifanya niijue JF miaka ya 2013 huko ingawa yeye alichelewa kidogo kujiunga. Na kwa Mara ya mwisho kuonekana humu ni 28/11/2020

Anaitwa Deogratius Paul Maige (30) mkazi wa Madibira Mbarali Mbeya, amefariki usiku wa kuamkia tar 08/12/2020 katika hospital ya Irembula kwa matatizo ya tumbo.

Kwa miaka mingi alikua nasumbuliwa na miguu kufa ganzi kitu kilichofanya ashinde home tu akichat kwenye mitandao ya kijamii. Baadae alipona miguu na ingawa hakuwa full recovered.

Tar 3/12/2020 alipelekwa sanitarium moja baada ya kuona mwili unakosa nguvu, huko aliambiwa anakisukari akapewa dawa lakini hali ikawa mbaya akakimbizwa Ilembula. Baada ya vipimo ikabainika utumbo umejifunga na anatakiwa kufanyiwa upasuaji wa haraka. Wakati wanaanza mchakato yakatokea ya kutokea .

Atazikwa Leo Tarehe 09/12/2020 katika makaburi ya kanisa Catholic Mahango - Madibira.


R. I. P deo paul555

Facebook alikua anatumia Deogratius Paulo Zachalia.

Rest In Peace! BTW hudhani umefanya kosa kumtambulisha jina lake halisi na picha wakati yeye hakutafanya hivyo? Au alikuwa amekuambia kuwa ufanye hivyo?
 
Huyu ni moja ya memba tuliekua nae humu kwa muda mrefu. Ni moja ya watu walionifanya niijue JF miaka ya 2013 huko ingawa yeye alichelewa kidogo kujiunga. Na kwa Mara ya mwisho kuonekana humu ni 28/11/2020

Anaitwa Deogratius Paul Maige (30) mkazi wa Madibira Mbarali Mbeya, amefariki usiku wa kuamkia tar 08/12/2020 katika hospital ya Irembula kwa matatizo ya tumbo.

Kwa miaka mingi alikua nasumbuliwa na miguu kufa ganzi kitu kilichofanya ashinde home tu akichat kwenye mitandao ya kijamii. Baadae alipona miguu na ingawa hakuwa full recovered.

Tar 3/12/2020 alipelekwa sanitarium moja baada ya kuona mwili unakosa nguvu, huko aliambiwa anakisukari akapewa dawa lakini hali ikawa mbaya akakimbizwa Ilembula. Baada ya vipimo ikabainika utumbo umejifunga na anatakiwa kufanyiwa upasuaji wa haraka. Wakati wanaanza mchakato yakatokea ya kutokea .

Atazikwa Leo Tarehe 09/12/2020 katika makaburi ya kanisa Catholic Mahango - Madibira.


R. I. P deo paul555

Facebook alikua anatumia Deogratius Paulo Zachalia.

RIP mwana JF mwenzetu.
 
Warumi 9 mstari wa ngapi mkuu?
Andiko zuri lenye maana kubwa.
RIP
Warumi 9: Maana Kristo alikufa akawa hai tena kwa sababu hii, awamiliki waliokufa na walio hai pia.

Now days kutoboa 30 ni ngumu sana asee kwa vijana waliozaliwa 90s Mungu atusaidie.

Hivi utumbo kujikunja si sababu ya Ulcers?🙄🙄
 
Poleni sana wafiwa.
R.I.P Deo Paul.
 
There must be a way ya kuficha identity ya mtu anapofariki, angeweza sema mtu anayetaka kujua zaidi aje PM or something, but huwezi mpaka weka picha yake kila kitu!
Jamiiforums wana kesi ya kujibu.

Unamuahidi mtu faragha halafu akifa unamchondoa?

Watu wanaomtunzia Maxence Melo siri zake binafsi akifa wazianike?
 
Back
Top Bottom