TANZIA Member deo paul55 wa JamiiForums afariki dunia

TANZIA Member deo paul55 wa JamiiForums afariki dunia

Yaani taarifa ya msiba itolewe kwa Jina fake sasa itakua na maana gani?Watu waende kuzika ID fake?

Pengine inafaa, ila naona Ina ukakasi! What if angesema information zote real akaacha profile ya Jamiiforums?

Au angesema hivi, atoe profile zote lakini aseme Njoo PM kama utaitaji kufaham zaidi kuliko kuweka in public?

Vipi, wewe unaenda msibani? Ushakati tickets?
 
I agree 1,000%

Gross violation of privacy rights expected at an anonymous forum.

R.I.P

Misdiagnosed and tormented for decades. Shame on the hospitals and health policy makers.

There must be a way ya kuficha identity ya mtu anapofariki, angeweza sema mtu anayetaka kujua zaidi aje PM or something, but huwezi mpaka weka picha yake kila kitu!
 
Huyu ni moja ya memba tuliekua nae humu kwa muda mrefu. Ni moja ya watu walionifanya niijue JF miaka ya 2013 huko ingawa yeye alichelewa kidogo kujiunga. Na kwa Mara ya mwisho kuonekana humu ni 28/11/2020

Anaitwa Deogratius Paul Maige (30) mkazi wa Madibira Mbarali Mbeya, amefariki usiku wa kuamkia tar 08/12/2020 katika hospital ya Irembula kwa matatizo ya tumbo.

Kwa miaka mingi alikua nasumbuliwa na miguu kufa ganzi kitu kilichofanya ashinde home tu akichat kwenye mitandao ya kijamii. Baadae alipona miguu na ingawa hakuwa full recovered.

Tar 3/12/2020 alipelekwa sanitarium moja baada ya kuona mwili unakosa nguvu, huko aliambiwa anakisukari akapewa dawa lakini hali ikawa mbaya akakimbizwa Ilembula. Baada ya vipimo ikabainika utumbo umejifunga na anatakiwa kufanyiwa upasuaji wa haraka. Wakati wanaanza mchakato yakatokea ya kutokea .

Atazikwa Leo Tarehe 09/12/2020 katika makaburi ya kanisa Catholic Mahango - Madibira.


R. I. P deo paul555

Facebook alikua anatumia Deogratius Paulo Zachalia.View attachment 1645104
Kama ni kweli basi pole kwa ndugu zake na Mungu ampokee kwenye mikono salama
 
Bwana Alitoa na Bwana Ametwaa, Jina la Bwana lihimidiwe.

Poleni kwa ndugu jamaa na marafiki wote mlioguswa na msiba.

Sote tu wasafiri na kuishi kwetu ni Kristo,kufa ni faida.
Mkuu, kufa sio faida.

Anyway, pole sana kwa familia ya marehemu.
 
Kijana mdogo sana kifo kimekatiza ndoto zake dah ila yote ni mipango ya mungu,inauma sana
 
Back
Top Bottom