Member gani JF amekuwa chawa kupitiliza, kwa mtu au kitu 2023?

Mimi ndiyo najiona zaidi. Asante b..., uwe na sikukuu njema.

Ova
Mimi ndio zaidi b… Ila tukipima kwa uzito na athari zinazotokana na yote tuliyosema wewe ndio zaidi.
Husemi sana, ila ukisema ni bomu linalolipua kila kitu 🤣🤣🤣
You know what I mean 😜

Asante b…
 
Utasikia "" kwa utukufu ulio tukuka"" Mara utaskia.
""Kwa moyo wa upendo """


Shame on you chawa mundali
 
Huyo ana akili za kipumbavu atakupoteza,angalia kanitukana bila sababu,sema mimi hua silei mapimbi,nampokea kama anavyokuja.
Kazi nzuri, ndo dawa yao 👏👏.. Halafu huyo ni tofauti na ambaye nilimquote pale juu. Sijui katokea wapi na yeye
 
Mdogo wangu Lucas mwashambwa, unastahili kupewa maua yako kwa kweli. 💐🌹🌷

Maana wewe pekee ndiye uliyekata kiu ya Watanzania wenzako walio wengi kupitia mada zako za kumsifia Mama pamoja na Tulia. Nashukuru mimi si mmoja wa hao Watanzania. Na hii ni baada ya kuchukua rasmi uraia wa burundi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…