Member mwenzetu Mpwayungu Village ni He au She au....?

Aaah mi mwenyewe na hamu ni mtafune.Japo ana boa sana kuhalalisha Upunga
N rahisi kama yeye ndie akaanza kukuelewa kabla yako, ila mm najuana nae kitambo hvy ikawa kama kumsukuma mlevi. Kuhusu Upunga nadhani anaongea kuchangamsha genge tuu ila sio mtu wa hvy
Ngoja aje akuchambe
Kwann anichambe.? Labla kwa kuwa nimesema hii hadharani ila najua ntamuweka sawa mana nia yangu ilikuwa kuonyesha kuwa n mwanamke kweli na sio kama hao wngn wanavyosema
 
Sorry nimejibu tu kama mdau alivyouliza
Ila sijui ana maana gani hapo ndio maana nikaweka alama ya mshangao
Wapo wale waliozaliwa na viungo viwili moja ikiwa ndani
Na wapo waliotengeneza ndio maana nikaweka hiyo ??
Nilikuelewa mkuu japo ile uliyoweka ilikuwa ni alama ya kuuliza

Wapo wanaozaliwa na hizo jinsia ..nitafaidika na jibu kuwa wanaitwaje
 
Hapo Kuna uhusika upi wakuonesha mm ni mwanamke? Utaje
 
Post zake ni tata
  1. Anasema wanaume wengi wakivua suruali anaona hawajakatwa
  2. Wanaume wengi wanashindwa kuwafikisha wanawake kileleni
  3. Yenye inchi 5+ ndiyo huwafikisha peak etc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…