Member mwenzetu Mpwayungu Village ni He au She au....?

jamaa ni me lakini tunamjua ni mzee wa kutafuta attention kama hamjui mwamba anatembea na upepo ili apate engangement kubwa
 


Anaweza kuwa wali ulioongezwa maji bila ration.
 
Acha kumuingiza GENTAMYCINE kwenye Mambo ya ajabu ajabu bhana




Jinsi ya mtu inatuhusu nini ?
Yaani dume zima unawaza kuhusu jinsia woi
 
Acha kumuingiza GENTAMYCINE kwenye Mambo ya ajabu ajabu bhana




Jinsi ya mtu inatuhusu nini ?
Yaani dume zima unawaza kuhusu jinsia woi
Mkuu wangu nisamehe bure.

Lakini kuuliza si ujinga maana salutation na reality vinatofautiana nisije nikapishana na pisi kali buree
 
...Kwan mmesahau nini... Mtu hadi kufikia hatua ya kutumia fake ID... Ujue hayupo tayar kujulikana...
 
Nilikuelewa mkuu japo ile uliyoweka ilikuwa ni alama ya kuuliza

Wapo wanaozaliwa na hizo jinsia ..nitafaidika na jibu kuwa wanaitwaje
Shemale tumesema,
na kuna hemmaphrodite
Tofauti hemmaphrodite ndio wana jinsia 2 kiasili wamezaliwa nazo kwahiyo pale kuna matundu mawili na boloyang moja.
Shemale kajibadilisha kujipamba tu,
ni mwanaume ana boloyang 1 na mnduku mmoja ukiona ziwa kuna mawili either ya china,au uturuki plant.
Au Sillicon
 
Hakuna cha laana wala nini tangu mwanzo niliwambia jamaa anahitaji msaada wa karibu inawezekana ugumu wa maisha unasababisha awe vile,hata ukiangalia maandiko ya walimu yalikuwa yamejaa chuki,jamaa anahitaji msaada wa kisaikolojia

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…