Si ndio maana shirika linajiendesha Kwa hasara!Ndege kutoka Dar kwenda Mwanza,ikipitia Chato ni kuchoma mafuta bure!Hujui biashara ya ndege wewe tuliza mshono. Mimi juzi nilienda Mtwara Bombadia tulikuwa abiria 15 tu kwenye ndege lakini bado ATCL wanaendelea kwenda huko.
Na ikipita ZNZ ikitokea KIA?Si ndio maana shirika linajiendesha Kwa hasara!Ndege kutoka Dar kwenda Mwanza,ikipitia Chato ni kuchoma mafuta bure!
Hakuwa kidume yule bali alikuwa mgonjwa wa akili.Watu wote waliufyata yule kidume alivyojenga huu uwanja
Suala hapo ni uwanja kutokuwa na tija Kwa Sasa!Kabisa hii ni aibu kwa vizazi vijavyo mtu anasimama hadharani huku amekenua meno na kisamvu cha jana kimenatiana kwenye meno eti " magufuli ni fisadi alijenga uwanja wa kimataifa kwao chato" uwanja wenyewe ndo huo ajabu sana. Wajukuu zetu watatushangaa sana.
Wangeachia wakulima wa mpunga waanikie mazao yaoHapo chato labda wahudumie mbuzi na punda
Uwanja kujengwa Chato bado ni mali ya serikali na fedha zilizotumika ni za serikali, itakua jambo la ajabu kama serikali haifanyi juhudi zozote kuona uwanja ule unatumika.Meneja wa uwanja wa ndege wa Chato amesema uwanja huo umefikia 95% ya ujenzi wake na kwamba uwanja huo umekuwa msaada mkubwa sana kwa wakazi wa kanda ya ziwa na nchi jirani.
Meneja amesema mpaka sasa kwa wasitani wana hudumia abiria 250 kwa mwezi na ndege za shirika la ATCL zinatua uwanjani hapo mara 3 kwa wiki. Pia shirika la TANAPA wanatumia mara kwa mara uwanja huo kwa shughuli zao za uhifadhi.
My take.
Huu ni uthibitisho tosha kuwa kila alichofanya Magufuli alifanya kwa masilahi ya taifa hili, na ujumbe huu uwafikie wote wenye roho za korosho na wapinga maendeleo wote ikiwemo timu gaidi.
Uwanja wa Kahama unatumiwa sana na ndege za Precision Air... Nauli laki tatu na zaidi.Kahama uwanja wa ndege upo fatilia vizuri!
Sawa, pesa imeshazikwa pale tayari so what next..?Tulipiga kelele sana wakati huo!Tunaongea hapa Ili tabia kama hiyo isijirudie!
Hivi wale waliotaka kuanikia mazao waliishia wapi...[emoji3]Meneja wa uwanja wa ndege wa Chato amesema uwanja huo umefikia 95% ya ujenzi wake na kwamba uwanja huo umekuwa msaada mkubwa sana kwa wakazi wa kanda ya ziwa na nchi jirani.
Meneja amesema mpaka sasa kwa wasitani wana hudumia abiria 250 kwa mwezi na ndege za shirika la ATCL zinatua uwanjani hapo mara 3 kwa wiki. Pia shirika la TANAPA wanatumia mara kwa mara uwanja huo kwa shughuli zao za uhifadhi.
My take.
Huu ni uthibitisho tosha kuwa kila alichofanya Magufuli alifanya kwa masilahi ya taifa hili, na ujumbe huu uwafikie wote wenye roho za korosho na wapinga maendeleo wote ikiwemo timu gaidi.
Mkuu kutoka Geita kwenda Mwanza ni kilometa 137 wakati kutoka Geita kwenda Chato ni kilometa 70. Kwa mtu anayetaka kusafiri kwa ndege kutoka Geita kwenda Mwanza, Arusha na Dar es salaam, ni rahisi kwake kwenda kupandia Chato na zaidi kwa taarifa ndege hiyo hiyo inayoondokea Chato ni lazima itue Mwanza kwanza.Mtu wa Geita hawezi kwenda Chato,ataenda Mwanza!
Inasikitisha sana Mafia kuna abiria wengi ukioona uwanja wao wa ndege utasikitika...na watalii wapo wengi tuHao abiria anawatoa wapi?
Hujui hesabu250/30 =8.33
Sasa wastani wa abiria nane Kwa siku ni matumizi mabaya ya rasilimali watu na miundombinu hiyo ya uwanja na ndege!
Uwanja hauna tija hapo Chato!
Mwanzo, nikafikiri ni 2,500 kwa mwezi!Walinda legacy mna kazi kweli,yaani abiria 250 kwa mwezi nayo unasifia!
Mkuu, Hesabu ya abiria wanaoshuka au kupandia Chato haijumuishi abiria wanaoshuka au kupandia Mwanza. Abiria wa Mwanza hawashuki Chato kuhesabiwa idadi yao na wala abiria wanaopandia Mwanza hawahesabiwi pamoja na wale waliopandia Chato.Mkuu ndege ikitoka Mwanza na watu 76,wakatua Chato na akapanda mmoja basi uwanja unarecord umehudumia watu 76!
Kwahiyo unataka kutuaminisha kuwa Ndege huwa zinatua lumambo.Kahama uwanja wa ndege upo fatilia vizuri!
250/30 =8.33
Sasa wastani wa abiria nane Kwa siku ni matumizi mabaya ya rasilimali watu na miundombinu hiyo ya uwanja na ndege!
Uwanja hauna tija hapo Chato!