Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Arusha yanaelekea mabasi zaidi ya 10 kwa siku lakini uwanja wa ndege haujajengwa.250/30 =8.33
Sasa wastani wa abiria nane Kwa siku ni matumizi mabaya ya rasilimali watu na miundombinu hiyo ya uwanja na ndege!
Uwanja hauna tija hapo Chato!
Unajua hesabu?250/4=62
Abiria 62 kwa siku kwa ndege kama Bombardier sio mbaya.
LikafaAlipenda miradi mikubwa ili aibe, ten percent, alimiliki fedha nyingi za wizi
250 Kwa Mwezi ni Average ya watu nane Kwa siku halafu unasifiaMeneja wa uwanja wa ndege wa Chato amesema uwanja huo umefikia 95% ya ujenzi wake na kwamba uwanja huo umekuwa msaada mkubwa sana kwa wakazi wa kanda ya ziwa na nchi jirani.
Meneja amesema mpaka sasa kwa wasitani wana hudumia abiria 250 kwa mwezi na ndege za shirika la ATCL zinatua uwanjani hapo mara 3 kwa wiki. Pia shirika la TANAPA wanatumia mara kwa mara uwanja huo kwa shughuli zao za uhifadhi.
My take.
Huu ni uthibitisho tosha kuwa kila alichofanya Magufuli alifanya kwa masilahi ya taifa hili, na ujumbe huu uwafikie wote wenye roho za korosho na wapinga maendeleo wote ikiwemo timu gaidi.
Mara 3 kwa wiki kupitia ATCL
Mkuu pambania regase😄Mkuu (mfano) wenye makampuni ya mabasi wanapotoa mabasi mapya huwa wanayatoa kipindi ambacho hhakuna wateja/abilia wengi kama ilivyo mwezi wa kumi na mbili.
Na kwa kipindi hicho chombo usafiri na abilia mpaka 11 huku wengi wa hao wakiwa wa njiani, na uchoma mafuta na tyres kurika kwa hata miezi 5 na huwa wanaamini bandaye msimu na abilia wakitambua huduma zake watakuja na kutumia gari zake.
Unadhani ile safari ya India ndege ilijaza abilia wote 200na kenda?
Wewe ni mkazi wa Chato?Ndege inapotua Chato na kuondoka lazima iingie kwenye record kuwa imepaa kutoka Chato na abiria wangapi!Mkuu, Hesabu ya abiria wanaoshuka au kupandia Chato haijumuishi abiria wanaoshuka au kupandia Mwanza. Abiria wa Mwanza hawashuki Chato kuhesabiwa idadi yao na wala abiria wanaopandia Mwanza hawahesabiwi pamoja na wale waliopandia Chato.
Tangu mwaka jana nimekuwa nikisafiri kupitia uwanja wa Chato, nimefanya safari nne na zote nimejiridhisha kuwa Chato itakuja kuwa moja ya route tegemeo ya Air Tanzania.
Kamuulize Baba yako hili swali. Jibu atakalokupa ndio jibu langu.Unajua hesabu?
Wewe naye kilaza tu,Sasa hapo Mimi nimetoa wastani wa siku!Unashindwa Nini kuzidisha Kwa 7/3 upate wastani wa wiki?Ulitaka hata wastani Kwa saa utapata!Hujui hesabu
Umeambiwa routes 3 kwa wiki.
Kwanini watu wanaumia wakisikia habari kama hizo kuhusu Chato?Mkuu, Hesabu ya abiria wanaoshuka au kupandia Chato haijumuishi abiria wanaoshuka au kupandia Mwanza. Abiria wa Mwanza hawashuki Chato kuhesabiwa idadi yao na wala abiria wanaopandia Mwanza hawahesabiwi pamoja na wale waliopandia Chato.
Tangu mwaka jana nimekuwa nikisafiri kupitia uwanja wa Chato, nimefanya safari nne na zote nimejiridhisha kuwa Chato itakuja kuwa moja ya route tegemeo ya Air Tanzania.
Umeandika uongo,road distance kati ya Geita na Chato ni 115km!wakati Mwanza to Geita ni 124 km!Mkuu kutoka Geita kwenda Mwanza ni kilometa 137 wakati kutoka Geita kwenda Chato ni kilometa 70. Kwa mtu anayetaka kusafiri kwa ndege kutoka Geita kwenda Mwanza, Arusha na Dar es salaam, ni rahisi kwake kwenda kupandia Chato na zaidi kwa taarifa ndege hiyo hiyo inayoondokea Chato ni lazima itue Mwanza kwanza.
Mara yangu ya mwisho kutumia njia hiyo ni tarehe 06.01.2022 na hesabu zangu za haraka pale Chato tu, tulipanda watu 26 na ndege ilijaa viti vyote. Kiwanja cha Chato kimeleta nafuu ya usafiri kwa mikoa ya Kigoma, hasa wilaya za Kibondo na Kakonko. Mkoa wa Kagera, wilaya za Biharamlo na Ngara,Mkoa wa Geita na hapa miji inayochipukia kama Katoro, Bwanga, Ushirombo, Runzewe na Nyakanazi wanatumia sana kiwanja kile.
Tusubiri miaka 50 ijayo huenda kukawa na Huo uhitaji!Sawa, pesa imeshazikwa pale tayari so what next..?
Sasa kwanin uwanja Huo usingejengwa Geita?Chato haiwezi kukosa abiria ukizingatia Geita kuna makampuni mengi ya madini na wafanyabiashara wakubwa wapo wengi tu.
Uwanja umejengwa kwa Bilioni 38. Kwa hesabu zako itachukua miaka 38 kurudisha gharama za ujenzi wa uwanja.miaka 38 ni Selikari 4. Sasa fikiria hela ni ya mkopo wa miaka 5 yaani unalipa deni huku huna faida unayoingiza.250 x TZS 450,000.00= 90,000,000+2,250,000=TZS 92,250,000.00/ mwezi
Kwa mwaka, karibu 1 bilioni.Siyo haba.
H haitoshi?! Au Arusha hupajui?!Arusha yanaelekea mabasi zaidi ya 10 kwa siku lakini uwanja wa ndege haujajengwa.
Chattle hakuna hata basi moja la abiria linalo3lekea huko, lakini wanajenga uwanja wa ndege.
Mtaumbuka tu. Mungu hapendi uongo na utapeli