DocJayGroup
JF-Expert Member
- Jan 17, 2020
- 1,654
- 3,346
Meneja wa uwanja wa ndege wa Chato amesema uwanja huo umefikia 95% ya ujenzi wake na kwamba uwanja huo umekuwa msaada mkubwa sana kwa wakazi wa kanda ya ziwa na nchi jirani.
Meneja amesema mpaka sasa kwa wasitani wana hudumia abiria 250 kwa mwezi na ndege za shirika la ATCL zinatua uwanjani hapo mara 3 kwa wiki. Pia shirika la TANAPA wanatumia mara kwa mara uwanja huo kwa shughuli zao za uhifadhi.
My take.
Huu ni uthibitisho tosha kuwa kila alichofanya Magufuli alifanya kwa masilahi ya taifa hili, na ujumbe huu uwafikie wote wenye roho za korosho na wapinga maendeleo wote ikiwemo timu gaidi.
Jinga sana ww. 250 kwa mwezi ndio unaringa? Hio ni LOSS KUBWA SANA KWA HILI TAIFA.. Ni sawa na kujenga hotel kubwa ya room 1000, halafu ni room moja tu mtu anakaa kwa siku. Nyingine 999 hazina watu kabisa