Can you argue sensibly?Mwambieni bibi yenu akabomoe huo uwanja!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Can you argue sensibly?Mwambieni bibi yenu akabomoe huo uwanja!
Unadhania.Toa ukweli wa data halisi.Sio kwamba hao abiri ni wa Chato,mfano ndege ikitoka dar inaenda Mwanza,ikitua Chato na abiria 70,walashuka watatu,basi uwanja unarecord umehudumia abiria 70 japo hao wengine 67 wanaenda Mwanza!
Hakuna route inayoanzia Chato au kuishia Chato!
Kama ni mara moja kwa wiki, ingekuwa abiria 30. Abiria 60 ulipata kwa hesabu gani?Angalia huyu nae eti anajiona ana akili. Acha kukurupuka, hesabu yangu inahusu aliesema ndege inakuja mara moja kwa wiki.
Bujibuji Simba Nyanaume njoo uone unavyosimangwa na mtemi wako Mwanamalundi!😝😝😝Wasukuma washamba sana, eti kujenga dalaja na yenyewe ni lagacy
Huo uwanja sio useless kwao. Si wanaweka airbase kwa ajili ya East & Central Africa power projectionNaunga mkono hoja, Wachina ndio wanapenda bond za hivi, tuchukuwe pesa za wachina tuwaachie uwanja huo useless kabisa.
Namkubar sana mzee Jpm kwa nia na kazi nyingi nzuri alizofanya kwa Tanzania hii.ukisoma hii thread plus wachangiaji , unagundua bara la afrika haliendelei kwa kuweka chuki mbele , ule uwanja wa chato ni sawa na viwanja vingine vya wilaya mbali mbali hapa Tz ila watu wamekosa hoja za kumkosoa marehemu basi hii ndo inabakia kuwa hoja ila in reality , hakuna route za kila siku hapo chato pia shirika la ndege sio wajingq kias hicho kuruhusu ndege kubeba watu sita kila siku throughout the year , Wabongo tunaendekeza siasa chuki na tutavuna tunachokitafuta one day
Kilometa 45 za kinyesi labda.acha kudanganya watu ili tu ujifanye unajua kutetea legacy.Una google taarifa zako kwa mihemko alafu unatuletea hapa.Wewe ni taahira! Katoro Chato kilometer 45 na katoro mwanza kilometer 165 uwezo unafatilia! Katoro niko ndani ya wilaya ya chato wewe inakuja kutuambia kutoka katoro kwenda mwanza ni karibu kuliko kutoka katoro kwenda chato!
Tunaongelea uhalisia mambo ya chuki unasema wewe au uduni unaleta wewe.haya ni maisha ya watanzania wote ila kwenye ukweli yatupasa tuseme.Ninasikitika kwasababu Watanzania hamjui hukumu za haki isipokuwa chuki.
Kwa mtu anayetumia usafiri wa anga Tanzania huwezi kuwabeza Wasukuma.
Ukiwa JNI waiting lounge 30% wasukuma hujaa.
90% ya wasafiri wa route za Mwanza ni wasukuma.
99% ya route za Tanzania route za kanda ya ziwa ina abiria wengi.
Acheni chuki Msukuma na kanda ya ziwa sio wanyonge.
Kama ni hivyo muda wake ulikua bado sana kufika.tungesubiri hadi mwaka 2080 labda ndo hili jambo lingekua na akilini.nyie mnaangalia hapa karibu hii ipo kwa future zaidi ile hospital ikiishakukamilika mambo yatakuwa fire
Chato haiwezi kukosa abiria ukizingatia Geita kuna makampuni mengi ya madini na wafanyabiashara wakubwa wapo wengi tu.Tunaongelea uhalisia mambo ya chuki unasema wewe au uduni unaleta wewe.haya ni maisha ya watanzania wote ila kwenye ukweli yatupasa tuseme.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Huna sababu yakulazimiasha mambo ambayo yangefanyika miaka 30 ijayo ukalazimisha kuyafanya leo wakati kuna mambo ya msingi ambayo ni mahitaji muhimu ya watu wako ya kila siku.Usikariri maisha! Ushawahi kuuliza wakati JNIA au Kilimanjaro airport inaanza walianzaje? Nyinyi akili zenu zinawaza leo utafikiri Tanzania haitakuwepo baada ya miaka 50!
Jambo likishatokea nini kifanyike?Huo ni uwanja wa ndege,usilete story za mabasi!
Kuna maeneo ambayo Yana mahitaji ya uwanja wa ndege,mji kama Kahama ambao umechanganya sana kibiashara!Sasa unapoenda kuweka uwanja sehemu ambayo Bado Haina demand ya uwanja,unaonekana mwendawazimu!
Yaani unaacha maeneo potential unaenda kuzika Hela sehemu isiyo na mwamko!
ahahahaaaa tuelezane ukweli hapa mkuu, as kama mkeo kajifungua nyani au si damu yako utafanyaje?.Unata kwenda Chato lini!!!Ratiba ya ndege mara ngapi kwa wiki?
Tema mate chini.Ni wanafamilia wa Magu, Kalemani, na Dotto, hao ndio hupanda ndege hiyo, ni uwanja wa familia ya JPM, Rais wa hovyo kabisa kuwahi kuongoza nchi hii, hovyo kabisa
Tulipiga kelele sana wakati huo!Tunaongea hapa Ili tabia kama hiyo isijirudie!Jambo likishatokea nini kifanyike?
Pesa imeshazikwa pale tayari so what next, tusianze kutupiana lawama hapa wanaJF utadhani sisi/mimi ndiye nilijengaahahahaaaatuelezane ukweli hapa mkuu, as kama mkeo kajifungua nyani au si damu yako utafanyaje?.