Meneja: Uwanja wa ndege Chato unahudumia abiria 250 kwa mwezi

Kamati ya roho mbaya hamna "credibility" yoyote ile ya kitakwimu, zaidi ya kuja na takwimu za kupikwa ili muweze kusubiri "karma" yenu juu ya matendo yenu maovu.
 
250/30 =8.33
Sasa wastani wa abiria nane Kwa siku ni matumizi mabaya ya rasilimali watu na miundombinu hiyo ya uwanja na ndege!
Uwanja hauna tija hapo Chato!
Arusha yanaelekea mabasi zaidi ya 10 kwa siku lakini uwanja wa ndege haujajengwa.

Chattle hakuna hata basi moja la abiria linalo3lekea huko, lakini wanajenga uwanja wa ndege.

Mtaumbuka tu. Mungu hapendi uongo na utapeli
 
250 Kwa Mwezi ni Average ya watu nane Kwa siku halafu unasifia
Kama hizi sio akili za Maiti itakuwa nini jamani
 
 
Wewe ni mkazi wa Chato?Ndege inapotua Chato na kuondoka lazima iingie kwenye record kuwa imepaa kutoka Chato na abiria wangapi!
Nipe ushahidi wa tiketi maana ni online booking,Naona umeleta story tu ya kujitungia!Weka ticket Moja tu,ficha details!
 
Hujui hesabu
Umeambiwa routes 3 kwa wiki.
Wewe naye kilaza tu,Sasa hapo Mimi nimetoa wastani wa siku!Unashindwa Nini kuzidisha Kwa 7/3 upate wastani wa wiki?Ulitaka hata wastani Kwa saa utapata!
 
Kwanini watu wanaumia wakisikia habari kama hizo kuhusu Chato?
 
Abiria 250 kwa mwezi sawa na abiria 8 kwa siku...

Ndege inapiga trip tatu kwa mwezi... Wasatani wa abiria 83 kwa kila trip...

Bado hali sio mbaya sana... Ngoja tuone mbele ya safari... Huenda ukaleta tija vile uwanja sio kama maembe kwamba utakufa...

Japo JpM alikurupuka sana kuujenga
 
Umeandika uongo,road distance kati ya Geita na Chato ni 115km!wakati Mwanza to Geita ni 124 km!
Eti imeleta unafuu Kwa kigoma,una akili kweli?Unajua umbali wa kibondo mpaka Chato ni almost 240 km!
 
Chato haiwezi kukosa abiria ukizingatia Geita kuna makampuni mengi ya madini na wafanyabiashara wakubwa wapo wengi tu.
Sasa kwanin uwanja Huo usingejengwa Geita?
 
250 x TZS 450,000.00= 90,000,000+2,250,000=TZS 92,250,000.00/ mwezi

Kwa mwaka, karibu 1 bilioni.Siyo haba.
Uwanja umejengwa kwa Bilioni 38. Kwa hesabu zako itachukua miaka 38 kurudisha gharama za ujenzi wa uwanja.miaka 38 ni Selikari 4. Sasa fikiria hela ni ya mkopo wa miaka 5 yaani unalipa deni huku huna faida unayoingiza.


Hiyo billion 1 kwa mwaka ondoa operating cost za ndege, uwanja ili ujue unazalisha faida au hasara.
 
Kia
Arusha yanaelekea mabasi zaidi ya 10 kwa siku lakini uwanja wa ndege haujajengwa.

Chattle hakuna hata basi moja la abiria linalo3lekea huko, lakini wanajenga uwanja wa ndege.

Mtaumbuka tu. Mungu hapendi uongo na utapeli
H haitoshi?! Au Arusha hupajui?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…