Meneja: Uwanja wa ndege Chato unahudumia abiria 250 kwa mwezi

Jinga sana ww. 250 kwa mwezi ndio unaringa? Hio ni LOSS KUBWA SANA KWA HILI TAIFA.. Ni sawa na kujenga hotel kubwa ya room 1000, halafu ni room moja tu mtu anakaa kwa siku. Nyingine 999 hazina watu kabisa
 
Yaani mmeishapanga kuwa kwa miaka yote hiyo 38 watanzania hatutazaliana na kuongezeka. Kwa takwimu za hivi karibuni population growth rate yetu ni kama 2.5%.

Pia kuna factors nyingine za kulazimisha discounted payback period ya mradi wa uwanja huo pamoja na shughuli zinazochichewa na uwanja huo ishuke mpaka iwe chini ya miaka 5. Mkuu, nadhani wewe ni mchumi utakuwa unajua ninaxhokieleza hapa.

Karibu.
 
Kahama kuna uwanja, na pia Geita kuna uwanja! Labda ungesema vijengwe viwanja vikibwa
 
Ni wanafamilia wa Magu, Kalemani, na Dotto, hao ndio hupanda ndege hiyo, ni uwanja wa familia ya JPM, Rais wa hovyo kabisa kuwahi kuongoza nchi hii, hovyo kabisa
Moja kati ya post za kipuuzi ni hii. Kweli unadhani pamoja na tawala zote za uraisi ndo Marehemu Magufuli alikua wa hovyo kabisa huku unasahau leo hii unatumia miundombinu mingi aliyoimalizia na aliyoianzisha na bado alijitahidi kwa nafasi yake. Hamna ambaye atakua safi ktk utawala ila alijitahidi kufumbua watanzania akili kufahamu mamlaka kamili aliyonayo raisi na utendaji wake kwamba inawezekana ila watawala wanaamua kujinufaisha wenyewe na sio Taifa mkuu. Jitafakari
 
Mfano sahihi kabisa
 
Alikuwa Rais wa hovyo kabisa, hovyo sana
 
250/30 =8.33
Sasa wastani wa abiria nane Kwa siku ni matumizi mabaya ya rasilimali watu na miundombinu hiyo ya uwanja na ndege!
Uwanja hauna tija hapo Chato!
Mkuu hiyo 250/30 umeitolea wapi? Wakati ushaambiwa wastani wa flight ni 3 kwa wiki? Kwahivyo inamaana kwa mwezi flight 12 tu
 
Kahama kuna uwanja, na pia Geita kuna uwanja! Labda ungesema vijengwe viwanja vikibwa
We vp?Huko kote nimeishi!Yaani unaweza kusema kiwanja Cha vumbi ni kiwanja?
 
Hauko chato wewe kichwa panzi! Hautafungwa jidanganye hizo sehemu kuna watu watafutaji sana mkuu!
Siwezi kaa chato hakuna hela hakuna chochote cha maana.
Nimefanya kazi Geita na chato nimefika mara nyingi halmashauri yao. Ule umbali huwezi kutoka katoro ukawahi ndege chato..

Na usitujaze ujinga hapa wasukuma wapande ndege wanaenda wapi?

Uwanja wa Chato ni liability. Wasipogeuza Chato kuwa makao makuu ya mkoa huo uwanja na miradi mingine itakufa.

Kama manager kakiri wateja 250 inamaana ni watu 8 per day..hivi biashara ghani inafanyika kwa style hiyo?
 
250/30 =8.33
Sasa wastani wa abiria nane Kwa siku ni matumizi mabaya ya rasilimali watu na miundombinu hiyo ya uwanja na ndege!
Uwanja hauna tija hapo Chato!
kwa wiki anatua mara 3x4=12
 
Uwanja huo umejengwa kwa bei gani? vs hao abilia 250 kwa mwezi.
 
250/30 =8.33
Sasa wastani wa abiria nane Kwa siku ni matumizi mabaya ya rasilimali watu na miundombinu hiyo ya uwanja na ndege!
Uwanja hauna tija hapo Chato!
Mkuu una matatizo makubwa ya mathematics. Umeambiwa ndege huja mara 3 kwa wiki. Jaribu tena kwa kutumia ndondoo nilizokupa.
 
sijaelewa, uwanja unapokea abiria 250 (mia mbili hamsini) au laki mbili na nusu? yaani mwezi mzima watu 250? kwa uwanja uliojengwa kwa bilioni zaidi ya 40? jamani jamani tujifunzege basi.
 
Amekupotosha, hajui hesabu Mkuu. Mwambie arudie kama anauwezo huo wa mahesabu ili tathmini uifanye kwa takwimu sahihi
 
Jambo jema hapo bei Kwa mtu mmoja ikoje??
 
sijaelewa, uwanja unapokea abiria 250 (mia mbili hamsini) au laki mbili na nusu? yaani mwezi mzima watu 250? kwa uwanja uliojengwa kwa bilioni zaidi ya 40? jamani jamani tujifunzege basi.
Leta takwimu za viwanja vya level ya Chato dunia ili tuweze kujadili kwa ufasaha
 
250/30 =8.33
Sasa wastani wa abiria nane Kwa siku ni matumizi mabaya ya rasilimali watu na miundombinu hiyo ya uwanja na ndege!
Uwanja hauna tija hapo Chato!
Unajua safari Kwa wiki ziko ngapi??
 
Mkuu una matatizo makubwa ya mathematics. Umeambiwa ndege huja mara 3 kwa wiki. Jaribu tena kwa kutumia ndondoo nilizokupa.
Sasa hapo kwenye hiyo 8.33 ni wastani wa siku,ulitaka kujua wastani Kwa kila safari basi unachukua 8.33×7/3,mbona simple tu!
Nikutoe tongotongo,hata kama mshahara wako unalipwa Kwa mwezi,ila unaweza kutafuta wastani wa mshahara wako Kwa wiki,siku,saa,dakika hata sekunde!Hizo ni mean estimations tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…