Nimeambiwa ziko 3,so ukitaka wastani Kwa safari basi unachukua hiyo 8.33×7/3.Ni as simple as that!Unajua safari Kwa wiki ziko ngapi??
Umeambiwa ndege inakwenda mara 3 kwa wiki hivyo n mara 12 kwa mwez sio 30250/30 =8.33
Sasa wastani wa abiria nane Kwa siku ni matumizi mabaya ya rasilimali watu na miundombinu hiyo ya uwanja na ndege!
Uwanja hauna tija hapo Chato!
Huo ni wastani tu,mnakwama wapi?Ukitaka kupata wastani wa safari basi unachukua hiyo 8.33 ×7/3!Umeambiwa ndege inakwenda mara 3 kwa wiki hivyo n mara 12 kwa mwez sio 30
hii hesabu ya wapi!ndege inatua mara tatu kwa mwezi wewe unagawanya kwa 3 huo ni wastani wa siku tatu au mwezi?na kwa nn utafute wastani wa mwezi?tunapofanya uwekezaji tunelenga miaka zaidi ya kumi mbeleni so naamini hapo mbeleni abiria wataongezeka tu ila mm shida yangu iko kwenye ununuzi wa madege ambao hauna tija.250/30 =8.33
Sasa wastani wa abiria nane Kwa siku ni matumizi mabaya ya rasilimali watu na miundombinu hiyo ya uwanja na ndege!
Uwanja hauna tija hapo Chato!
duhMakka Rio yake
Aache kutufanya wendawazimu.
Huo ni uongo mkubwa
Daah nimegawanya Kwa siku 30 na sio siku 3!hii hesabu ya wapi!ndege inatua mara tatu kwa mwezi wewe unagawanya kwa 3 huo ni wastani wa siku tatu au mwezi?na kwa nn utafute wastani wa mwezi?tunapofanya uwekezaji tunelenga miaka zaidi ya kumi mbeleni so naamini hapo mbeleni abiria wataongezeka tu ila mm shida yangu iko kwenye ununuzi wa madege ambao hauna tija.
NANI..?Amekupotosha, hajui hesabu Mkuu. Mwambie arudie kama anauwezo huo wa mahesabu ili tathmini uifanye kwa takwimu sahihi
Meneja wa uwanja wa ndege wa Chato amesema uwanja huo umefikia 95% ya ujenzi wake na kwamba uwanja huo umekuwa msaada mkubwa sana kwa wakazi wa kanda ya ziwa na nchi jirani.
Meneja amesema mpaka sasa kwa wasitani wana hudumia abiria 250 kwa mwezi na ndege za shirika la ATCL zinatua uwanjani hapo mara 3 kwa wiki. Pia shirika la TANAPA wanatumia mara kwa mara uwanja huo kwa shughuli zao za uhifadhi.
My take.
Huu ni uthibitisho tosha kuwa kila alichofanya Magufuli alifanya kwa masilahi ya taifa hili, na ujumbe huu uwafikie wote wenye roho za korosho na wapinga maendeleo wote ikiwemo timu gaidi.
wastani wa abiria 21 kila flight..waongeze juhudi kuvutia zaidi wasafariUmeambiwa ndege inakwenda mara 3 kwa wiki hivyo n mara 12 kwa mwez sio 30
Ndio maana nikakwambia mathematics shida. Wastani wa siku ambapo huna operations😀😀😀 acha usanii na upotoshaji mkuu.Sasa hapo kwenye hiyo 8.33 ni wastani wa siku,ulitaka kujua wastani Kwa kila safari basi unachukua 8.33×7/3,mbona simple tu!
Nikutoe tongotongo,hata kama mshahara wako unalipwa Kwa mwezi,ila unaweza kutafuta wastani wa mshahara wako Kwa wiki,siku,saa,dakika hata sekunde!Hizo ni mean estimations tu!
Tupe gharama za ujenzi wa JNIA na idadi ya abiria. hapo utakuwa umetutendea haki kwa uchambuzi wakoMathematical iko hivi kwa mwezi Wana routes 12 na abiria 250 maana yake abiria 20 average kwa trip Moja! Abiria 20! Tunafata abiria 20 kwa gharama ya ujenzi wa billions 30 ya uwanja! Unasema tanapa wanatumia huo uwanja! Iko hivi tanapa Wana viwanja vyao huko kwa reserves, siyo lazima watumie huo uwanja! Don't just justify wrong kwa abiria 20 kwa trip utter nonsense! Na hao abiria 20 ni magufuli family and relatives wakina kalemani etc! Its not economically kutumia 30 billions for 20 people per trip or 250 people per month stupidity.
Kwa hiyo huyo babu yako hatakufa? Ujinga mtupu!Babu yangu yupo anadunda kabisa.. na anajali sana afya yake na ana miaka 83. Na JPM sio babu yako faraaa ww. Unatumia nguvu nyingi kumlilia mtu ambaye tulishamsahau na kumsahau. Badala ya atumie ndege zimpeleke africa kusini kabla hali haijawa mbaya.. akadharau??. Endelea kulia tu. Sie tunajiendeleza kiuchumi.. kifaranga ww..
Wewe pimbi ni kabila gani? Mimi nijuavyo nchi hii watumiaji wa ndege za local wengi ni chaga,wasukuma na wahaya! Kidogo na watu wa mbeya!Siwezi kaa chato hakuna hela hakuna chochote cha maana.
Nimefanya kazi Geita na chato nimefika mara nyingi halmashauri yao. Ule umbali huwezi kutoka katoro ukawahi ndege chato..
Na usitujaze ujinga hapa wasukuma wapande ndege wanaenda wapi?
Uwanja wa Chato ni liability. Wasipogeuza Chato kuwa makao makuu ya mkoa huo uwanja na miradi mingine itakufa.
Kama manager kakiri wateja 250 inamaana ni watu 8 per day..hivi biashara ghani inafanyika kwa style hiyo?
Tunapotafuta mean(wastani),mfano j3 mpaka j5!Tuseme j3 ulikunywa Lita 5 zamani,J4 hukunywa maji,j5 ukanya Lita 1!Ukitafuta wastaniNdio maana nikakwambia mathematics shida. Wastani wa siku ambapo huna operations😀😀😀 acha usanii na upotoshaji mkuu.