Meneja wa TRA Kibondo akamatwa na meno ya tembo

ameshindwa kuelewana na hao waliomkamata hadi anadhalilishwa hivi
amezingua
 
Wizi wote wanaoufanya TRA haukumtosha?

Hayo manamba yote ya nini? Huyu ni jambazi kabisa, inaonesha ana mengi sana ya kujibu.
 
Hii biashara za mihogo ina mambo mengi,ukiletewa mezani
Mipesa yake inatamanisha sana
Ni biashara unayotakiwa kuwa na mtandao mpana
Longtime sana,ndy nakutana na malkia wa pembe za ndovu hotelini kwake pale beijing opp na shoppers plaza
Pale si kulikuwa na wageni wengi kutoka China wanafikia,kumbe yule mama alikuwa anaona sana pilika zangu nkiingia pale kuwafTa wageni wangu wachina....ananisoma tu....
Sasa kuna siku yule mama akaniita akasema nna maongezi na wewe,tukapanga siku ya meeting pale ....
Siku naonana naye sasa akaanza kuniambia ebwana ehh yule mama alikuwa anajuwa kila kitu nachofanya na wale wachina 😄
Yule mama wa kichina naye,baada ya kuona pilika zangu na ufaster wangu kwa wale wageni wa kichina akavutiwa na mm sasa,kukawa na ukaribu
Yule mama alikuwa anajuwa dili bana Ana michakato kibaooo
Hawa sjui wakubwa marpc polisi anaongea wakat wowote
Sasa kuna siku hyo aliinita akaniambia kwake watakuja wageni kutoka China na nia yao waende kongo wakanunue dhahabu na wanakuja na mshiko mkubwa,sasa yeye anasema wakifika anataka kuwapiga helaa
😄 nakumbuka issue ilisikilizwaa lakini mwisho wa siku wale wageni kutoka China hawajaja kwake walionganisha juu kwa juu 😄
Yule mama alilaani sana akasema hawa walisoma nyakati
Sasa tukawa una ukaribu fulani akiwa na issue tunaongea,nakumbuka wakat balloon gari zinatoka alinunua alikaa nayo wiki tu akaibiwa,polisi wana haha kumpigia masimu wamsaidie kuitafuta mama anasemaa achaneni nayoo tu
😄
Sasa kuna siku nmekaa naye ndy akawa ananielezea kuhusu biashara ya pombe za ndovu na kama alitaka kuniingiza,nkasema hapana hii issue syo badaye huwa inabuma,sema kama mtu wa tamaa na hujuwi kucaLculate
Risk ....unapoteaaa

Ova
 
Si wengine wanasema Tanzania ni ngumu kutajirika kupitia mshahara halali?
Hakuna bilionea aliyeajiriwa. Matajiri wote wamejiajiri na huko kwenye kujiajiri ndiko kwenye magumashi. By the way huyu jamaa itakuwa wamechomana na wenzake baada ya kudhulumiana. Sidhani kama ndio kwanza anaanza hio biashara!
 

Hahaha umenikumbusha kipindi cha RFA ,Ndugu Jonathan Meshack Jambazi mtoto alipewa "KESI YA KICHWA" na maaskari .....Polisi walimbambikizia KESI YA MAUAJI wakati kesi yake ilikuwa ya ujambazi wa kutumia silaha.
 
Ni kaka wa mchambuzi. Alirudi Mabamba, now ni mwanachama mtiifu wa chama tawala. Ana tenda za barabara na kukodisha mbasi ya kubeba wakimbizi.
 
Ni kaka wa mchambuzi. Alirudi Mabamba, now ni mwanachama mtiifu wa chama tawala. Ana tenda za barabara na kukodisha mbasi ya kubeba wakimbizi.
Inawezekana, una maana alifilisika? Maana alikuwa tajiri mkubwa Burundi. Siku hizo Bakhresa bado anauza viatu mtaa wa Uhuru.

imi nafahamu kaka wa mchambuzi ni yule Captain wa ndege aliyeshikwa na Dhahabu, enzi za Mrema alipokuwa waziri wa mambo ya ndani.
 
Wenyewe wanasema! "If you don't no the rules, don't play the game "
 

Wewe Bibi andika MAKALA za historia kama Mzee Mohamed Said ,una vitu vingi vya kihistoria vijana wa 2000 wajifunze.
 
Hiki ni kielelezo cha wazi jinsi baadhi ya watumishi wa umma walivyo. Wengi ni wapigaji. Wapigaji wa mali ya umma na rasilimali zetu. Na wanalindwa na mfumo, kwamba ni watumishi wa umma. Inaonekana hata wakiiba ni kitu cha kawaida au ni kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…