Mengi, Mrema, Msuya, Mwaka na Manara, wote walikosea wakafunga Ndoa badala ya kuoa

Mengi, Mrema, Msuya, Mwaka na Manara, wote walikosea wakafunga Ndoa badala ya kuoa

To cut the long story shot

Mengi kaoa mchaga mpaka kapata kizazi cha ovyo wapo miaka 40 na kuendelea ila hawana familia ila sio lazima

Mrema kaoa mchaga
Msuya kaoa huko usukumani sijui kaskazini
Mwaka kaoa msukuma
Manara kaoa Msukuma

Moral : Angalia makabila ya kuoa na nasaba za watu usije kuingia kweny matatizo
 
To cut the long story shot

Mengi kaoa mchaga mpaka kapata kizazi cha ovyo wapo miaka 40 na kuendelea ila hawana familia ila sio lazima

Mrema kaoa mchaga
Msuya kaoa huko usukumani sijui kaskazini
Mwaka kaoa msukuma
Manara kaoa Msukuma

Moral : Angalia makabila ya kuoa na nasaba za watu usije kuingia kweny matatizo
Kabila linaweza kuwa siyo shida.Shida huanza pale ulipooa boga.
 
Kabila linaweza kuwa siyo shida.Shida huanza pale ulipooa boga.
Kabila Lina matatizo pia kutokana na nasaba za watu ndo maana Mengi alienda kuoa nje ya kabila lake maana yeye kama tajiri wanae kibao kizazi cha ovyo kabisa ...mengi ni very smart ila kaona kazaa watoto wa ovyo yaani kufuja pesa na kuoa hawataki Leo wanagombeana Mali.

Mke wa Dr Mwaka alishaolewa mwanzo na jamaa baada ya kufilisika akakimbia kwa jamaa ila inaonekana mwaka kwa sasa havumi labda Kuna tatizo.

Njoo wa Manara Naye ivyo ivyo amezaa na jamaa hapa Bongo maarufu tu ,jamaa kafulia kamkimbia kaja kwa marana.

Mke wa mrema kafuata pesa .

Huyo msuya kesi na hao wapare wanaendesha miaka kibao kila siku wapo mahakamani..na Kuna tetesi huyo mke kamuua mmewe
 
To cut the long story shot

Mengi kaoa mchaga mpaka kapata kizazi cha ovyo wapo miaka 40 na kuendelea ila hawana familia ila sio lazima

Mrema kaoa mchaga
Msuya kaoa huko usukumani sijui kaskazini
Mwaka kaoa msukuma
Manara kaoa Msukuma

Moral : Angalia makabila ya kuoa na nasaba za watu usije kuingia kweny matatizo
Mkuu unataka kumaanisha hapo sukuma gang na chagastan ni wa kutafuna mbususu kimchepuko puko tu si wa kuoa asilani!! yan usithubutu hata kwa kurogwa kuoa hivyo viumbe
 
Sikuwa na lengo ka kuanzisha uzi katika muda mbovu kama huu, ila nimeshindwa kujizuia. Kelele nilizoziona kwa wingi ni juu ya kufunga ndoa au kutokufunga ndoa; lakini je, tunataka watu wafunge ndoa au waoe? Ni kwanini mtu afunge ndoa badala ya kuoa? Au kwanini mtu aoe badala ya kufunga ndoa? Nafafanua hapa kwa marefu na mapana.

-Nitamtolea mfano mzee wetu Dr. Reginald Mengi (R.I.P). Binafsi naelewa maumivu ya ndani kwa ndani aliyokuwa akiyapata kwa kutoletewa wajukuu na watoto wake wote; kuna yule Rodney Mengi, wakati Mola anamwita kwenye makazi ya milele, alikuwa na miaka 30, na kwa mapenzi yake mola hakuacha mtoto. (nasikia tu). Kuna mwingine wanamwita Abdiel Mengi, naambiwa ni over 50yrs, naye hadi Mengi anondoka hakuwa ameleta mjukuu (Nasikia tu). Na kuna mwingine anaitwa Isabel Mengi nadhani, sijui, ila probably yupo above 40, na hadi Dr.Mengi anaitwa na mola wake, hakuwa ameona mjukuu kwa binti yake (nasikia tu); in such a scenario mtu unaweza kuogopa kizazi chako kufutika huku unajiona mubashara kabisa. Sasa je utakubali?

Mengi akaona isiwe tabu, akamuoa Jackline Mengi ili apte wajukuu ambao pia ni watoto wake (mapacha). Lakini je, alipomuoa Jackline Mengi, kulikuwa na ulazima gani wa kufunga nae ndoa? Kwani angemzalisha na kuishi nae tu kwa umri ule angepungukiwa na nini kikubwa hasa? Matokea ya kufunga ndoa ndio hayo tumeayaona, kawaishwa pengine mapema zaidi ya muda aliopanga mola (Nasikia tu); na hadi sasa kinachoendelea huko mahakamani ni vita na mateso makali kwa familia yake. Hapa Mengi ilipaswa aoe tu na kulea watoto wake, ila sio kufunga Ndoa! Kataa ndoa!

-Sasa nahamia kwa Mrema masikini ya Mungu, mzee wa watu alishajimalizia yake yote hapa ya duniani, alikuwa anasubiri tu safari yake ya Mwisho; kibaya kilichotokea, alikuja kufunga ndoa na tapeli kabisa, maana alikuwa ni mke wa mtu ambaye alikuwa natumia hina feki la Doreen nadhani, matokeo yake , kawaishwa na kesi ya kugombea mali ipo mahakamani nadhani.., hapa huyu mzee alipaswa kuoa tu, na sio kufunga ndoa, kataa ndoa!

- Haya, Msuya nae, alishamaliza yake yote, ilikuwa ni kujipumzikia na kutafuna totoz at will, nae badala ya kuoa dogodogo wake na kuweka ndani, yeye akafunga ndoa tena ya kanisa! Nae kawaishwa kwa muumba wake, sijajua kama palitokea ugomvi wa mali, jamani, kataa ndoa!

Kuna huyu ndugu yetu mwenye changamoto ya ngozi, Bwana Haji Sunday Manara, alifunga ndoa ya kwanza, ya pili na ya tatu back to back! Hii ya tatu nasikia alioata mshtuki na kuanguka, sasa kama mtu una mke aliyefunga nae ndoa, huyu mwingine ilibidi uoe tu, haoakuwa na haja ya ndoa.., akizingua unaweka pembeni, sasa hapa tusubiri huyu Rushaynah kwenda mahakamani kudai talaka na mgao wa mali, the bi*tch seem so devious! Kataa ndoa!

Haya, hiki sakata ka mwisho ka Ndugu yetu, mganga wa Miti Shamba, Dr. Mwaka Juma Mwaka, alifunga ndoa ya kwanza, ya pili na ya tatu, hii ya Queen imeleta tafrani hadi Watz wote sasa wanaogopa kufunga ndoa, na walio kwenye ndoa wanatetemeka kwa ahili yake, hadi Sheikh mkuu katumbuliwa, at the heart of it all ni nyumba inagombewa, yaani Dokta Mwaka afanye kazi kama mbwa koko kujenga nyumba yake halafu mtu from nowhere aje kudai apewe kiulaini tu, nyie wanawake, hivi hamna huruma,?! Kwanini msijengage zenu ili na sisi wanaume tuje tudai tupewe?! Hamna hata chembe ya huruma kwa jasho la binadamu wenzenu?! Ni binadamu gani msio na huruma nyie! Mungu atawalipa
Kwahiyo baba yko alioa mti ndipo akakuzaa? Nonsensical
 
Mi huwa nashangaa cheti cha ndoa kuandikwa jamhuri ya muungano wa tanzania wakati ndoa inafungishwa kanisani. Ina maana ndoa zote zinasajiliwa na serikali, je ndoa zile zisizo na cheti ina maana sio ndoa? Kwa hiyo ndoa zote zilizofungwa kanisani, misikitini, bomani na kwenye mila zinatambuliwa na serikali kuwa hizo ndio halali kwa kuwa zina vyeti. Mbona zikianza kuyumba huwa hawakumbushi wanandoa hizo wavumiliane mpaka kifo kwa kuwa wana vyeti vya ndoa? Ukioa bila kupewa hicho cheti haihesabiki umea hata kama kuna upendo na furaha hakuna mgogoro hamtambuliwi kama mna ndoa. Sasa ndoa ni nini ikiwa hata wale wa jinsia moja wanafunga na kupewa cheti? Haya mambo yamekuwa tata sana, hata wapinga ndoa nao wameibuka bila majibu sahihi
 
`````Ushauri kwa serikali yangu pendwa.Kukopa au kuiga sheria sio dhambi.Maamuzi mengi ya majaji huwa wana refer kesi za nyuma mfano utasikia kesi kama hii ilitokea huko Karnakata India mrufani alishinda kesi dhidi ya Premji Chotabai kwa kuzingatia mazingira flani mahakama ikamhukumu Chotabai kumpa mtalaka wake mali walizochuma kwa jasho wakiwa wote ila zile ambazo marehemu alichuma kabla mkewe Dinesh mahakama iliona Dinesh hana haki ya kuzimiliki maana hata marehemu naye aliridhi kutoka kwa wazazi wake.

Mfano mwingine kesi kama hii ilitokea mwaka 1935 huko Milton Keynes.MacAlster alikuwa akiishi na Margreth kwa miaka 30 bila ya kufunga ndoa.MacAlster alivyofariki mwanamke akafungua kesi ya madai ya kumiliki mali zote za marehemu hata hivyo Makakama iliridhika bila chembe ya wasi kwa mashahidi ambao mwaka huo wa 1935 walikuwepo waliona mali za Alster alirithi kutoka kwa baba yake.Hivyo mahakama ilitoa hukumu ya mwanamama kutokupata chochote kwa vile walikuwa wanaishi kama vimada tu hivyo haitambui hiyo ndoa.

Hiyo ni mifano tu.Siku hizi wanawake kwa kupitia vyama vyao na desk lao la jinsia wanakubali kuishi na mwanaume wakiwa na akili ya pili kichwani.Kwa lugha nyepesi ni wapigaji tu.

Nashauri kwa nchi yetu hii sheria iangaliwe upya kupunguza upigaji huu.Kenya juzi ilitoa hukumu kwa kesi flani jamaa alikuwa anaishi na mdada toka mwaka 1986 jamaa alivyofariki mdada kaenda kudai mali mahakama ikatupilia mbali kesi yake maana miaka yote waliishi bila kufunga ndoa.

Hapa nchini kwetu kuna sheria ya hovyo kabisa ya ndoa eti ukiishi ndani ya nyumba na mwanamke kwa miezi sita na majirani wanaona tayari huo ni uthibitisho tosha kuwa ni mke na mme.Kwa maumbile tuweke dini pembeni mwanaume ni mgumu kidogo kuvumilia kuwa na mke mmoja.Mfano mzuri mtu kazi yake ni ya porini na mgodini kule kijijini kwao ana mke lakini huku kwa kuogopa upweke anaamua kuwa na kimada wanaishi wote kimya kimya inafika zaidi ya miezi sita.Bahati mbaya yule jamaa anaangukiwa na kifusi au jiwe kwa mantiki hiyo tayari huyu mwanamke anajitokeza kudai mali za marehemu tena asivyo na aibu anaingilia hata mali za kijijini kwa mwanaume huu ni wizi mtupu.

Nashauri serikali na bunge hiki kipengele kiangaliwe vizuri kilitungwa na wakoloni kama ile sheria ya wazururaji.Huwa najiuliza swali mungu anisamehe kwa nitakachosema ni kwanini mwanaume anapotafuta mali akapata na akawa na kimada wa nje kimada akaona gepu limekaa vizuri maisha yake yanakuwa mafupi?
 

Attachments

  • hen.PNG
    hen.PNG
    157.7 KB · Views: 11
Back
Top Bottom