Menina aishtaki DSTV, adai shilingi za kitanzania bilioni 1.2

Sh 100,000,000 ni pesa ndogo sana kununua nyumba America. Hiyo pesa ni sawa $49, 000- 52,000 pesa ambayo ni kiduchu saana. Hata bed seat hupati. Labda alinunua nchini Haiti.
Walipata bilioni 2 wakagawana ay,mwana fa na msando unataka kuniambia kakosa hata nyumba ya us dollars 200,000
 
Yaani ile video haikumchafua na kumpotezea mapato, stori ya umbea ndo impotezee mapato, wabongo kwa kucheza na fursa noma sana.
 
Walipata bilioni 2 wakagawana ay,mwana fa na msando unataka kuniambia kakosa hata nyumba ya us dollars 200,000
Mkuu hiyo milion 100 wanasema alilipwa kwa kutumia picha yake kwenye bango sehemu za Bamaga/Shekilango bila makubaliano kama sikosei.
 
Wewe hujui sheria dogo.

Bora ujikalie kimya.
 
Mkuu hiyo milion 100 wanasema alilipwa kwa kutumia picha yake kwenye bango sehemu za Bamaga/Shekilango bila makubaliano kama sikosei.
;pnamjibu aliyejichanganya Ray kigosi alilipwa milioni 100 ya picha yake kutumika kwenye bando kina Ay na mwana fa walipiga mamilioni ya kutosha hdi Ay akanunua nyumba america ndiyo nikamuuliza kwani hakuna hata nyumba ya dollar 200,000?
 
Walipata bilioni 2 wakagawana ay,mwana fa na msando unataka kuniambia kakosa hata nyumba ya us dollars 200,000
Kama vitu hujui nyamaza, mzigo ulienda kwa watu sio chini ya kumi, marehemu hakimu hadi staff wa goti
 
Sasa badala ya kuwashtaki majirani waliosema hayo yeye anawashtaki Dstv? Ana akili sawasawa huyu?
Ameangalia wapi atapata huo Mpunga. Ameona hao Majirani zake hata akiwauza wao na Mali zao hamna kitu ataambulia
 
Sh 100,000,000 ni pesa ndogo sana kununua nyumba America. Hiyo pesa ni sawa $49, 000- 52,000 pesa ambayo ni kiduchu saana. Hata bed seat hupati. Labda alinunua nchini Haiti.
Acha uongo US nyumba Hadi za milioni 70 ($30,000) zipo kibao tu.
 
Inawezekana wewe ndio haufikiri sawa sawa. Kilichomletea madhara ni DSTV kuruhusu umbea huo kutangazwa. Hao majirani umbea wao pengine hata tusingeujua
Liabilities zina mipaka, Kwa mantiki hiyo hata Tanesco walio-supply umeme washtakiwe? Maana ndio waliosuoply umeme TV za nchi nzima watu wakaona, kwanini Tanesco hawakukata umeme? Liabilities zina mipaka. Kufikisha taarifa (hata umbea ni taarifa) kwa mtu mwenye leseni si kosa, na hajakiuka masharti ya leseni kurusha hiyo taarifa. Kama alipigiwa simu ili kubalance story na muhusika akagoma kutoa ushirikiano kwa sababu anazojua yeye, leseni inamruhusixkuirusha hiyo taarifa, na baadae inakuwa ni jukumu lake huyo mhusika kukanusha au kuikubali hiyo taarifa. Kama kilichorushwa then kimemchafua, kilichomchafua ni maneno ya majirani, na majirani wanafahamika, akawashtaki hao.
 
That is what I meant earlier. Na watengenezaji TV nao washitakiwe
 
Kaulize huyo mwana FA na AY kama mpaka sasa wameshawahi lipwa hiyo pesa.
Wameshalipwa kitambo mzee, na juzi wale jamaa wa tigo wakataka walianzishe tena wadai kurudishiwa hela zao!

FA akasema hela ililipwa kwa amri ya mahakama kwahio kesi hakuna! Aidha kama kesi iliamuliwa katika mahakama isiostahili hilo sio kosa lao wanachojua walifata taratibu zilizotolewa kisheria so hamna case 😅...

We bakia na ujinga wako huo huo! AY ndio aliamua kuhamia United States kabisa akanunua mjengo wake wa million 800 akarudi kuoa mnyarwanda wake na FA akaoa nae mke wake sijui ni msambaa mwenzie yule ila life linasonga! FA akaunga connection na ma big fish akina councillor salah mara paap FYN by falsafa ikazaliwa watu wakazidi kupiga hela tu 😅 we unafikiri jeuri ya kuomba ubunge ilitokea wapi? Endelea kujiongopea eti hela ilipwa lini wakati mwenzio anapush discovery 4 mjini!

Mwana Fa wa bado nipo nipo kwanza alikuwa na hela gani ya kugombea ubunge?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…