Men's Fashion: DOs and DONTs

Men's Fashion: DOs and DONTs

Sijui kama ni mimi tu, ama na wengine, huwa kuna maumivu na maudhi fulani hivi mtu akibamiza mlango wa gari, hata kama nimeazima. So huwa nasaidia kila napoweza kupunguza hiyo. Na situations ambazo zitahitaji mimi kufanya hivyo; kama wakati wa mvua, na mimi ndio nimeshika mwamvuli; au akiwa kabeba mtoto au chochote ambacho kitasababisha usumbufu kwake kufungua mlango; au pia kama namna gari ilivyo-park, inaruhusu yeye kuwa wa kwanza kuingia.

Ila honestly, it's not my thing, and I won't force it. But I do love helping with the seatbelt, like I can do that all day, everyday. And if she smells good, Oh lawwd have mercy!


Hahaaa!,...guys will always be, yaani usisaidie na mlango ukasaidie na seatbelt just because you lean close to her!...mweh!

Kwenye kubamiza mlango nakubali, it's unnecessary.
 
Eeeh ujue watu wakisikia shati jekundu sijui wanafikiria ni yale mekundu ya kung'aa, aisee tupia tu red shirt. Afu crazy colors mbona zinanoga sana tu, especially kwa watu wenye confidence zao.


True, some colors zinanoga wakiwa na confidence na mwili pia. Kama hii pink ya Nick Canon Imempendeza sana.

187155437-actor-singer-host-nick-cannon-is-gettyimages.jpg
 
NI KUJISUMBUA TU. AFTER ALL NI MADHARA GANI MTU ANAPATA ASIPO MECHISHA NGUO? WE HAVE A LOT TO DO INSTEAD OF WASTING TIME KUMECHISHA.
 
Suti nazo zina miili yake mama, mwingine ukimkuta na msuti wake unatamani umtie kwenzi.
Hahaha ndo maana unaambiwa Usichague mchumba kwenye sherehe. Kila mkaka was "mwaaaaaah". Afu wengi wana vile vimiili vyangu navyovipenda Koh Koh

Bana kuna mtu akivaa suti unajikuta tu umenuna kama inakuhusu vile
Nyie wadada toeni Do's na Don't sio soga tu.. Ka-thread katajaa umbea sasa
 
Aisee, kumeibuka tabia siku hizi ya kuvaa nguo za kubana! Sijui imesababishwa na nini?!? Wachezaji wa NBA walikuwa hawana tabia za kuvaa nguo za kubana na matisheti kama ya kike. Lakini siku hizi wakiongozwa na Westbrook ndiyo imekuwa fasheni.
Ni afadhali mwanaume avae loose clothes haswa jeans na pants kuliko kuvaa za kumbana na kumchoresha mwili.

Ndiyo maana mimi nikiwa nanunua jeans uwa napendelea straight au regular. Hizo slim nawaachia wazungu! Nikiona mtu mweusi ndani ya slim, nafsi yangu inasononeka.
Mkuu upo vizuri sana kwenye jeans, mi huwa napendelea boot cut au straight.
 
Back
Top Bottom