NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
unarudi pale pale fasheni siku hizi hazieleweki,pink haijawahi kuwa fasheni ya wanaume.ni kwa watoto na wanawake.lakini poa si ndio wakatiPink ndio new fashion kwa men ila usivae pink ambayo imekolea pink mpauko inafaa kwa wanaume