GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Kama huna attention to details, Usipolipanda au kuliendesha huwezi kuelewa utaona ni just expensive box.Naomba kujuzwa!
Japo sivutiwi na mwonekano wa nje wa gari tajwa, linaonekana lina upekee usio wa kawaida. Bei yake ipo juu sana.
Ningekuwa na ndugu au rafiki mwenye nalo, ningeomba alau lifti ili niujue uzuri wake halisi. Lazima lina upekee unaolifanya liwe ghali sana kuliko magari mengine mengi!
Kwa wajuzi wa magari, Mercedes Benz G wagon lina upekee gani tofauti na magari mengine?
Anasa tu.Naomba kujuzwa!
Japo sivutiwi na mwonekano wa nje wa gari tajwa, linaonekana lina upekee usio wa kawaida. Bei yake ipo juu sana.
Ningekuwa na ndugu au rafiki mwenye nalo, ningeomba alau lifti ili niujue uzuri wake halisi. Lazima lina upekee unaolifanya liwe ghali sana kuliko magari mengine mengi!
Kwa wajuzi wa magari, Mercedes Benz G wagon lina upekee gani tofauti na magari mengine?
Acha kabisa ndugu nilikuwa naliendesha la kanisa mpaka leo halijawahi kunitoka kichwani hilo Gari Daima.Naomba kujuzwa!
Japo sivutiwi na mwonekano wa nje wa gari tajwa, linaonekana lina upekee usio wa kawaida. Bei yake ipo juu sana.
Ningekuwa na ndugu au rafiki mwenye nalo, ningeomba alau lifti ili niujue uzuri wake halisi. Lazima lina upekee unaolifanya liwe ghali sana kuliko magari mengine mengi!
Kwa wajuzi wa magari, Mercedes Benz G wagon lina upekee gani tofauti na magari mengine?
Haya magari ukiyaendesha ndo utaelewa upekee wake, miaka nyuma kidogo nilikua na jamaa yangu anapush LC v8 tukapata ajali mahali, kwa emergency akaletewa ist ili tuendelee kwenda tunapoenda, jamaa akaendesha kidogo akashuka akanipa hebu endesha wewe, kumuuliza kwanini jamaa anadai hafeel hata kama anaendesha gari, ngoja tuendelee kujitafuta na sisiIla mkuu panda kwanza,mengine hapa tutajieleza sana hutatuelewa😁😁.
Siku ya kwanza kupanda LC v8,2013 nikaanza dharau kwa hizi gari zingine,anyway sijafanikiwa kununua hata moja mpaka sasa😁😁.
Hii inatesa sana madereva wa matajiri, makampuni na Serikali, hata akibarikiwa la kwake la milion 25 anaona ni kama mkokoteni😁😁😁.Acha kabisa ndugu nilikuwa naliendesha la kanisa mpaka leo halijawahi kunitoka kichwani hilo Gari Daima.
Ni kweli kabisa mkuu! Nimeshtushwa na bei yake. Hebu fikiri, kwa Dar, "mitumba" ya Mercedes Benz G wagon yanauzwa mpaka 500m, lazima lina upekee usiopatikana kwenye magari mengine kama V8 n.k.Kama huna attention to details, Usipolipanda au kuliendesha huwezi kuelewa utaona ni just expensive box.
La Kanisa? Umefaidi sana aisee! Mimi sijawahi hata kuligusa kwa mkono sembuse kulipanda!Acha kabisa ndugu nilikuwa naliendesha la kanisa mpaka leo halijawahi kunitoka kichwani hilo Gari Daima.
Kwakweli ni Gari lile wataalamu wameweka akili na maarifa yao hapo, ulikute manual aisee. Umadhubuti ni wahali ya juu sana kwa hizo gari.Ni kweli kabisa mkuu! Nimeshtushwa na bei yake. Hebu fikiri, kwa Dar, "mitumba" ya Mercedes Benz G wagon yanauzwa mpaka 500m, lazima lina upekee usiopatikana kwenye magari mengine kama V8 n.k.
Mimi sina, hakuna ndugu yangu mwenye nalo wala sina rafiki aliye nalo! Nitalipandia wapi sasa mkuu?Ila mkuu panda kwanza,mengine hapa tutajieleza sana hutatuelewa😁😁.
Siku ya kwanza kupanda LC v8,2013 nikaanza dharau kwa hizi gari zingine,anyway sijafanikiwa kununua hata moja mpaka sasa😁😁.
Duh! bei imesimama kwakweliNi kweli kabisa mkuu! Nimeshtushwa na bei yake. Hebu fikiri, kwa Dar, "mitumba" ya Mercedes Benz G wagon yanauzwa mpaka 500m, lazima lina upekee usiopatikana kwenye magari mengine kama V8 n.k.
🙏🙏🙏Mkuu,it is a G wagon.
😃😃😃Anasa tu.
Mkuu hebu angalia uumbaji wangu. Hakuna chenye thamani hapa duniani zaidi ya pumzi ya uhai, ukiachana na asili ya uumbaji wa mwili wa mwanadamu, vyote vinavyobakia ni anasa.
Mimi mwenye Premio na huyo mwenye Vogue vyote ni vyombo vya usafiri. Ila zingatia neno"anasa"
🤣🤣🤣Haya magari ukiyaendesha ndo utaelewa upekee wake, miaka nyuma kidogo nilikua na jamaa yangu anapush LC v8 tukapata ajali mahali, kwa emergency akaletewa ist ili tuendelee kwenda tunapoenda, jamaa akaendesha kidogo akashuka akanipa hebu endesha wewe, kumuuliza kwanini jamaa anadai hafeel hata kama anaendesha gari, ngoja tuendelee kujitafuta na sisi
Yale yaliyokuwa ya kanisa yana utofauti mkubwa sana na g wagon, japo kimuonekano na muundo wa body yanafanana..Acha kabisa ndugu nilikuwa naliendesha la kanisa mpaka leo halijawahi kunitoka kichwani hilo Gari Daima.
Aisee!Hii inatesa sana madereva wa matajiri,makampuni na serikali,hata akibarikiwa la kwake la milion 25 anaona ni kama mkokoteni😁😁😁.
Ni sawa unatumia iphone 15 au s24 ofisini halafu ukirudi ghetto unatulia ktk tecno pop 1,waaaaaaaah mpaka mzuka unakata🤣🤣