Mtumishi wa Bwana89
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 3,191
- 4,220
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kanisani gani hilo ambalo linamiliki G wagonAcha kabisa ndugu nilikuwa naliendesha la kanisa mpaka leo halijawahi kunitoka kichwani hilo Gari Daima.
Madam sisi hatuna hela, imagine m 50 ya mafuta ni kiinulia mgongo cha mstaafuMm nimeisoma hiyo milion 500 km sijui kusoma vizuri hatari😀😀
Hapa hapa!wa passo tunacomment wapi?
Hiyo hapo juu👆Picha ziko wapi
Ooh kumbe ni kama lile la Mange!Hiyo hapo juu👆
Jipya kabisa (zero kilometre) ni kwenye milioni 800 hadi 900.
Mitumba ni kwenye milioni mia tano, mia sita, n.k. kutegemeana na hali ya gari!
Pamoja na kodi? Mtandaoni kuna linalouzwa Dar sh 600,000m, halafu ni mtumba.Mkuu ni Dollar 175,000 sawa na Tsh 490M. Hiyo ni bei ya G Wagon watakazo toa mwaka kesho.
kaka shikamoo, miaka ya 80 tayari ulikuwa na ndinga.G ni habari nyingine mkuu
S class ni luxury saloon
Kazini walinipa S Class V6 ilikuwa ya manager mmoja akaniachia mimi miaka ya nyuma
Kweli lilikuwa ni gari ukikaa ndani unajua umekaa kwenye gari kwa ubora, comfortability na hata barabarani limetulia
Kwa Benz haikutupi boss
Mimi ni mhenga na miaka ya 80 nikiwa kwenye nchi moja tajiri nilinunua Benz 450sel 6.9 V8
Mkuu hii mashine hata uje na gari gani enzi hizo nikiwa kijana hunikamati
Nilikuwa nawaambia wenye GT, 280z , na hata Camaro Z na Mustang watangulie na mimi nakuja nyuma
Nawapita kama wamesimama
Turudi kwenye mada sasa G Wagon nasubiri kustaafu 😄
Ila S Class kwa G usifananishe ni magari mawili tofauti kabisa
Marahabakaka shikamoo, miaka ya 80 tayari ulikuwa na ndinga.
Tuachane nae mzee, ahahaha kuna gari ni kali bila ata kujua performance yake... mfano hii na Range.
Unasemaje kuhusu bentley flying spur?G ni habari nyingine mkuu
S class ni luxury saloon
Kazini walinipa S Class V6 ilikuwa ya manager mmoja akaniachia mimi miaka ya nyuma
Kweli lilikuwa ni gari ukikaa ndani unajua umekaa kwenye gari kwa ubora, comfortability na hata barabarani limetulia
Kwa Benz haikutupi boss
Mimi ni mhenga na miaka ya 80 nikiwa kwenye nchi moja tajiri nilinunua Benz 450sel 6.9 V8
Mkuu hii mashine hata uje na gari gani enzi hizo nikiwa kijana hunikamati
Nilikuwa nawaambia wenye GT, 280z , na hata Camaro Z na Mustang watangulie na mimi nakuja nyuma
Nawapita kama wamesimama
Turudi kwenye mada sasa G Wagon nasubiri kustaafu 😄
Ila S Class kwa G usifananishe ni magari mawili tofauti kabisa
Range unyama sana, ingawa kwanguTuachane nae mzee, ahahaha kuna gari ni kali bila ata kujua performance yake... mfano hii na Range.
It's just a poor mindset kwa sababu tunafahamu watu wanafanya kazi benki daily kuhesabu mamilioni ya pesa ambazo si mali yake,anarudi home hata laki yake mwenyewe hana. Ukitaka kujua hizi mindset zetu zilivyo za kiboya fanya kazi na mzungu. Yeye salary zaidi ya 10milion lakini yuko simple na simu simple tuu, sasa geuka kwa mmatumbi salary hata milioni haifiki lakini mashauzi sasa daaah...Hii inatesa sana madereva wa matajiri,makampuni na serikali,hata akibarikiwa la kwake la milion 25 anaona ni kama mkokoteni😁😁😁.
Ni sawa unatumia iphone 15 au s24 ofisini halafu ukirudi ghetto unatulia ktk tecno pop 1,waaaaaaaah mpaka mzuka unakata🤣🤣
Ni gari kubwa sana hiloUnasemaje kuhusu bentley flying spur?
870 mill bila ushuru, ukiongeza ushuru billion na poing zake.. zile chuma kubwa sana, ila naona zilo na luxury kubwa sana.. walikuwa wanafanya comarison na S680 naona S alikalishwa chini.. V8 sport naona lipo la V12 au W16 kama sijakoseaNi gari kubwa sana hilo
Ila kwa mimi sijalipenda hivyo
Kwa £32,000 kama 100m unaweza ukalipata la 2014 sio mbaya ingawa kuna ya ghali zaidi kwa mwaka huo
Huku naona wadosi wanashindana kuwa nayo
Hapo hujalipa ushuru kwa bongo mara 2
Kama la 2024 ni 870m ya bongo bila ushuru
Jipya litakuwa ghali sana
Kuna rafiki yangu analo jeusi sport V8