Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Watu wanapigwa sana kwenye ushuru870 mill bila ushuru, ukiongeza ushuru billion na poing zake.. zile chuma kubwa sana, ila naona zilo na luxury kubwa sana.. walikuwa wanafanya comarison na S680 naona S alikalishwa chini.. V8 sport naona lipo la V12 au W16 kama sijakosea
Yaani wqnashindwa kubuni njia zingine za kuongeza mapato