Mercedes Benz G Wagon lina upekee gani?

Mercedes Benz G Wagon lina upekee gani?

Nimeendesha Benz tofauti tofauti na sijawahi kujutia hata siku moja
Kwanza Wajerumani wana umakini sana katika kufanya mambo yao na ndio maana vitu vyao ni bei juu
Hata ujenzi na kila kitu
Kama unataka nyumba waliyoipaki wanakuletea na kuijenga kwako kama mnavyoona Sanlg wanavyofunga 😄

Hizi G Wagon hata Pope aliagiza mwaka 1980 tena aliundiwa yeye na madoido kibao

Kwanza iko juu kuliko gari zingine ina 7G tronic gearbox, na permanent wheel drive

Kuna jamaa mmoja Ganther Haltorf aliendesha G Wagon nchi 215, na maili 559,234 na haikuharibika hata siku moja
Heshima kwa Benz hata kama la zamani

G Wagon lipo kwenye orodha
 
Nimeendesha Benz tofauti tofauti na sijawahi kujutia hata siku moja
Kwanza Wajerumani wana umakini sana katika kufanya mambo yao na ndio maana vitu vyao ni bei juu
Hata ujenzi na kila kitu
Kama unataka nyumba waliyoipaki wanakuletea na kuijenga kwako kama mnavyoona Sanlg wanavyofunga 😄

Hizi G Wagon hata Pope aliagiza mwaka 1980 tena aliundiwa yeye na madoido kibao

Kwanza iko juu kuliko gari zingine ina 7G tronic gearbox, na permanent wheel drive

Kuna jamaa mmoja Ganther Haltorf aliendesha G Wagon nchi 215, na maili 559,234 na haikuharibika hata siku moja
Heshima kwa Benz hata kama la zamani

G Wagon lipo kwenye orodha
Kati ya G Wagon na S Class ipi zaidi?

Kuna mtu alishawahi kusema mara yake ya kwanza kuendesha S Class alijihisi yeye si dereva. Ni tofauti kabisa na magari aliyokuwa ameshayaendesha kipindi hicho.
 
Katibya G Wagon na S Class ipi zaidi?

Kuna mtu alishawahi kusema mara yake ya kwanza kuendesha S Class alijihisi yeye si dereva. Ni tofauti kabisa na magari aliyokuwa ameshayaendesha kipindi hicho.
G ni habari nyingine mkuu
S class ni luxury saloon
Kazini walinipa S Class V6 ilikuwa ya manager mmoja akaniachia mimi miaka ya nyuma
Kweli lilikuwa ni gari ukikaa ndani unajua umekaa kwenye gari kwa ubora, comfortability na hata barabarani limetulia

Kwa Benz haikutupi boss
Mimi ni mhenga na miaka ya 80 nikiwa kwenye nchi moja tajiri nilinunua Benz 450sel 6.9 V8
Mkuu hii mashine hata uje na gari gani enzi hizo nikiwa kijana hunikamati
Nilikuwa nawaambia wenye GT, 280z , na hata Camaro Z na Mustang watangulie na mimi nakuja nyuma
Nawapita kama wamesimama

Turudi kwenye mada sasa G Wagon nasubiri kustaafu 😄
Ila S Class kwa G usifananishe ni magari mawili tofauti kabisa
 
G ni habari nyingine mkuu
S class ni luxury saloon
Kazini walinipa S Class V6 ilikuwa ya manager mmoja akaniachia mimi miaka ya nyuma
Kweli lilikuwa ni gari ukikaa ndani unajua umekaa kwenye gari kwa ubora, comfortability na hata barabarani limetulia

Kwa Benz haikutupi boss
Mimi ni mhenga na miaka ya 80 nikiwa kwenye nchi moja tajiri nilinunua Benz 450sel 6.9 V8
Mkuu hii mashine hata uje na gari gani enzi hizo nikiwa kijana hunikamati
Nilikuwa nawaambia wenye GT, 280z , na hata Camaro Z na Mustang watangulie na mimi nakuja nyuma
Nawapita kama wamesimama

Turudi kwenye mada sasa G Wagon nasubiri kustaafu 😄
Ila S Class kwa G usifananishe ni magari mawili tofauti kabisa
🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom