King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Hamna kitu humo ,nimeiona ya Da Mange ,Ya Bakhresa na ya Turky sitamiss chochote.Lakini utamisi kinachopatikana kwa G Wagon!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna kitu humo ,nimeiona ya Da Mange ,Ya Bakhresa na ya Turky sitamiss chochote.Lakini utamisi kinachopatikana kwa G Wagon!
Kama ni kuja kwa njia za kujilipua basi itabidi ukatishe border nyingi na kila mahali ni risk ila ni bahati ya mtuIngesaidia sana kama ungetoa na mchanganuo wa hiyo 20m!
✓Labda ni nauli tu?
✓Ni hela ya kujikimu kwa mwezi mmoja wakati ukipambana kutafuta kazi?
Kiwandani wakishamaliza majaribio wana reset odo. Hizo 3,5,6 miles unazokuta ni delivery mileage. Mfano kushushwa kwenye meli linapakiwa kwenye tow truck then wanaingiza show room, Tanzania wanaliendesha hadi show room.Hakuna gari mpya niliyoendesha ina zero mile
Ya chini kabisa ilikuwa Audi Q8 ilikuwa na 3 miles tu
Waswahili ndio wameleta huo msemo wa zero km 😄
Gari lazima lijaribiwe kiwandani na matairi lazima yazunguke
SSB, Turky watumie 900m kununua gari halafu wewe ambae usikute hujawahi kununua kitu chochote kipya useme hamna kitu?!! Yaani SSB atoe 900m for nothing.Hamna kitu humo ,nimeiona ya Da Mange ,Ya Bakhresa na ya Turky sitamiss chochote.
😆🤣Kuna hana hata baiskeli kabaki na mshangao asijue cha ku comment
[emoji23][emoji23][emoji23]kuna adds moja hivi wanasemaga hivyo kinapiga kibeat alaf unasikia It's G Wagon inatokea chuma hiyo ndani yake yupo pisi kali anashusha g-string[emoji16][emoji1] pia BMW na Volkswagen nao wameifanyia edit yake.Mkuu,it is a G wagon.
Nilidhani utasema umetumia kama tatu hivi ndio unasema hamna kitu upo mbali Morogoro road unaona ikipita harafu unasema hamna kitu daah..Hamna kitu humo ,nimeiona ya Da Mange ,Ya Bakhresa na ya Turky sitamiss chochote.
[emoji16][emoji16][emoji16]Ila mkuu panda kwanza,mengine hapa tutajieleza sana hutatuelewa[emoji16][emoji16].
Siku ya kwanza kupanda LC v8,2013 nikaanza dharau kwa hizi gari zingine,anyway sijafanikiwa kununua hata moja mpaka sasa[emoji16][emoji16].
Dar es Salaam moyaa hiyooo.. jamaa kaona isiwe kesi kaipandisha pipaa.. sioni baharini.. safii sana
[emoji23][emoji23][emoji23]kuna adds moja hivi wanasemaga hivyo kinapiga kibeat alaf unasikia It's G Wagon inatokea chuma hiyo ndani yake yupo pisi kali anashusha g-string[emoji16][emoji1] pia BMW na Volkswagen nao wameifanyia edit yake.
Nilidhani utasema umetumia kama tatu hivi ndio unasema hamna kitu upo mbali Morogoro road unaona ikipita harafu unasema hamna kitu daah..
Mkuu acha zako bhana atuendeshi gari YouTube ndio maana ukienda Yard za wenzetu wana test and drive hata kama haujalipia hata cents ili uione gari unayotaka kununua kwa kuindesha hata iwe mpya yenye 5km kwenye dashboard...yote kwa yote hilo G Benz ni jiwe haswa mzee baba...Mkuu aiseee ,kwani Youtube kazi yake ni nini? Kuna tofauti nikiiona Youtube na Live?
Kazi hii hapa..
Mkuu acha zako bhana atuendeshi gari YouTube ndio maana ukienda Yard za wenzetu wana test and drive hata kama haujalipia hata cents ili uione gari unayotaka kununua kwa kuindesha hata iwe mpya yenye 5km kwenye dashboard...yote kwa yote hilo G Benz ni jiwe haswa mzee baba...