Marahaba
Hakika kabisa, nilikimbia ujamaa nikiwa mdogo 😄
1978 nikakuta wenzetu wamebarikiwa na kila kitu kwq ajili ya wese
TV nikakuta wanazo zamani na ndinga za America yaani American Muscles kama GMC wanachungia mbuzi na ngamia
Nikajipiga ndinga mshahara wa Tatu tu GT
Na baadae nikanogewa ikawa kubadili tu
Mafuta ni kama bure huko yaani jamaa wamefaidika na mafuta yao kwa kutaka wawekewe kila kitu Kama wazungu
Sisi madini yetu tunauza kama kokoto tu maana watoto bado wanakaa chini bila madawati
Wao wakwao niliwakuta wanacheza Atari games kama Ps sasa