Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mr Mangi anaitwa....yule jamaa yuko vizuri upstairs, nimemuelewa kupita Maelezo!Thread inaitwa "Ontario's mere prediction about the future".But ukitafakari vizuri humo ndani hakuna ulichopredict zaidi ya kucheza na akili za watu.
Ulichoandika sio utabiri bali umeanza kwa kutuelezea ulivyosoma kuhusu ukuwaji wa technology na athari zake (-v) Katika upande wa ajira kabla haujaingia katika Aya ya mwisho ambayo ndio lengo kuu la hii thread.
Ninani aliyefika hadi kidato cha nne ambaye hajui kwamba moja kati ya athari za ukuaji wa technology ni Pamoja na kupungua kwa ajira?kama hakuna na hayo uliyoyasema hayatoki kichwani kwako bali kwenye vitabu ulivyosoma kama ambavyo umeeleza Sasa hapo utasema umetabiri nini?.
Kila ukuwaji wa tecnolojia uliyoizungumzia umeuzungumzia katika Hali ya hasara tu hasa katika upande wa ajira yaani hakuna hata sehemu moja uliyoonesha kwamba kuna faida fulani itakayopatikana Lakini ulipofika kwenye Bitcoin umeiongelea kwenye upande positive tu tofauti na technology nyingine.Umeielezea faida tu ikiwemo kupanda kwa thamani na wewe mwenyewe ukaanza kwa kutoa ushuhuda kwamba Bitcoin ipo vizuri sana.
Hapo ndio nagundua zile za juu zote zilikua ni bla bla tu lakini target yako kuu ilikua kuintroduce issue ya BITCOIN kama ilivyokuwa kwenye FOREX.Umeieweka Bitcoin mwishoni ili muendelezo Uwe thread ya Bitcoin.
"Mwakajana tuliwafundiaha jinsi ya Ku download money kupitia FOREX na hatimaye mwaka huu kutokana na ukuaji wa technology tunategemea kuwafundisha kuprint wenyewe majumbani kupitia BITCOIN .Jiandaeni na pesa za Seminar, Undeni ma group ya watsap Mikoani kwenu mkitimia watu 100 wenye Ada mkononi mtuite tutakuja".
Jamaa mmoja kanifurahisha Sana kasema eti " Unaweza ukafurahia kuletewa fursa kumbe wewe ndio fursa ya aliyekuletea".
http://www.jamiiforums.com/mobile-gallery/e3f33d3bd0c17ebf14573e13682014b9.jpg
A man who buy his luxury car through forex
Ile ishu kuna sehemu kacopy sio yy. Ngoja huo uzi nikikutana nao nitakutag.Mr Mangi anaitwa....yule jamaa yuko vizuri upstairs, nimemuelewa kupita Maelezo!
Uongo mkubwa uliowahi kuongea ww bwana Ontario ni kua "Eti kuna machine ya 3D inayatumika kuprint nyumba, so baada ya miaka kama 20 watu watakua wanafyatua nyumba kwenye mashine"
-Tera La Vista
Kila siku hua nawaambia watu Lack of exposure na kua mvivu wa kusoma vitabu madhara yale ndio haya kutwa unasoma Umbea [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
We jamaa unaejiita The bord nakumaind sana
Omba mungu usiingie anga zangu
Ontario Mimi nakubari Sana maandiko yako lakini pale Uliposema kuwa nyumba nayo ina pritiwa akanibidi nitoke Jamiiforum nikimbilie YouTube Kwa kasi ya umeme kuhakikisha hili.. its true even house can be printed nimetazama videos nyingi na ku google hapa na pale.. Thank you for this information.
hahaaa ukiona hvyo tambua kuwa watu wameshanza kutambua aina hii ya upigaji .nahawana imani na MUONGO ..MTU MUONGO HAPASWI KUAMINIWA HATA KAMA ATASEMA KWELIBiashara imekuwa ngumu..naona wateja wamekuwa wakali kama mbogo kwa mentor wao..uzi graph yake inashuka tu taratibu..
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]Thread inaitwa "Ontario's mere prediction about the future".But ukitafakari vizuri humo ndani hakuna ulichopredict zaidi ya kucheza na akili za watu.
Ulichoandika sio utabiri bali umeanza kwa kutuelezea ulivyosoma kuhusu ukuwaji wa technology na athari zake (-v) Katika upande wa ajira kabla haujaingia katika Aya ya mwisho ambayo ndio lengo kuu la hii thread.
Ninani aliyefika hadi kidato cha nne ambaye hajui kwamba moja kati ya athari za ukuaji wa technology ni Pamoja na kupungua kwa ajira?kama hakuna na hayo uliyoyasema hayatoki kichwani kwako bali kwenye vitabu ulivyosoma kama ambavyo umeeleza Sasa hapo utasema umetabiri nini?.
Kila ukuwaji wa tecnolojia uliyoizungumzia umeuzungumzia katika Hali ya hasara tu hasa katika upande wa ajira yaani hakuna hata sehemu moja uliyoonesha kwamba kuna faida fulani itakayopatikana Lakini ulipofika kwenye Bitcoin umeiongelea kwenye upande positive tu tofauti na technology nyingine.Umeielezea faida tu ikiwemo kupanda kwa thamani na wewe mwenyewe ukaanza kwa kutoa ushuhuda kwamba Bitcoin ipo vizuri sana.
Hapo ndio nagundua zile za juu zote zilikua ni bla bla tu lakini target yako kuu ilikua kuintroduce issue ya BITCOIN kama ilivyokuwa kwenye FOREX.Umeieweka Bitcoin mwishoni ili muendelezo Uwe thread ya Bitcoin.
"Mwakajana tuliwafundiaha jinsi ya Ku download money kupitia FOREX na hatimaye mwaka huu kutokana na ukuaji wa technology tunategemea kuwafundisha kuprint wenyewe majumbani kupitia BITCOIN .Jiandaeni na pesa za Seminar, Undeni ma group ya watsap Mikoani kwenu mkitimia watu 100 wenye Ada mkononi mtuite tutakuja".
Jamaa mmoja kanifurahisha Sana kasema eti " Unaweza ukafurahia kuletewa fursa kumbe wewe ndio fursa ya aliyekuletea".