Dick Monger
Senior Member
- Apr 1, 2017
- 166
- 235
Marvelous! Tunahitaji vichwa hata kumi tu kama vyako kuibadilisha Tanzania kuwa technology hub, trust me kuna vijana wana uelewa mkubwa sana wa haya mambo, hasa waliosoma IT, hongera kwa somo zuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ila inaweza ikawa kweliMultiple ID kama smart 911 na mahondaw [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Mtu mmoja anayejitekenya na kujichekesha mwenyewe
nmefikiria hivyo piaNadhani mafundi, gereji na wenye viwanda vya cement Tanzania na Afrika hicho sio kitu cha kukiogopa.
Hakiwezi kuwaathiri karne kadhaa zijazo.
Haya bana [emoji23]Mkuu daah nmeahirisha sita print pachuchi tena !!!
Yani na wewe unataka kutugeuza sisi fursa?Asee this is so thrilling. Watu watabisha tu but kwa wale tulioelewa, tushajua ni uwanja upi tunatakiwa kuchezea. Yaan mpaka kuna watu wanaamini Elan Musk ni Allien haki ya mama. Kwa wanaohitaji soft copy ya kitabu cha The Industries of the future nimekinunua tayari. Kama hamtojali tuchangiane kidogo kurudisha gharama kama 5000 tu mi ntakiupload hapa.
Yani na wewe unataka kutugeuza sisi fursa?
Jukwaa hili linaitwa intelligence na bado unaamini kuna mjinga humu? Jaribu mmu.
Nakushauri, yafuatayo! Jiondoe FB, Uninstall whatsapp, jiunge na Quora.com, pitiapitia jf mwisho kabisa usimtafute ONTARIOMkuu nashindwa hata nisemaje yaani.
Umebarikiwa natamani nipate hata nusu saa ya kuchat kwa simu au kuongea nawe waweza kuwa taa yangu kwa kunishauri vitu fulani kama vitano hivi.
Mungu atakulipa
Acha uongo hakuna anayelazimisha kutumia jpm kama hataki kuwa part ya TMT. Unaweza kupata training tu na ukaendelea na issue zako sasa hapo unalazimishwa vipi?, ila ukitaka kuwa member wa TMT ndio unawajibika kufuata terms and conditions ambazo ziko wazi kabisa kabla hujaanza training. Mbona toka jana hakuna mtu aliyejitokeza kusema kaibiwa, ila watu baki ndio mnalalamika. Hela sio za kwenu kinawauma nini? -uliwasaidia kutafuta? Zikiibiwa si za kwao?, wewe zinakuhusu nini? -wivu tu.Namuona mwizi wa TMT anajikong'oja,any way ajibu tuhuma za watu kulazimishwa kutumia JP markets brokers
Marvelous! Tunahitaji vichwa hata kumi tu kama vyako kuibadilisha Tanzania kuwa technology hub, trust me kuna vijana wana uelewa mkubwa sana wa haya mambo, hasa waliosoma IT, hongera kwa somo zuri
Uongo mkubwa uliowahi kuongea ww bwana Ontario ni kua "Eti kuna machine ya 3D inayatumika kuprint nyumba, so baada ya miaka kama 20 watu watakua wanafyatua nyumba kwenye mashine"
-Tera La Vista
hapo hata mimi nimeshindwa kuelewa mkuu aisee..!!!! nimejaribu kujiwazisha yaani unaprint nyumba kuanzia msingi,ukuta,kupauwa mpaka tiles na masink ya vyoo...!!!!!?????...makala yote nimeilewa ila hapo ontario kaniacha...
ngoja nimuhulizw...
Hahaaaaaa hadi shimo la choo inachimba..!
Usisahau kasema kua ipo siku utasafiri kwa eMail hadi marekani sasa sijui utatokaje..
Pia ukiagiza gari japan utatumiwa kwa Email ukaitoe kwa wakala..