Merry Christmas from Mohamed Salah. Je, anapima upepo? Waislam wamshangaa!

Duh, tamaduni za magharibi zimeshamuathiri, cheki hata mkewe na binti zake wapo uchi, hawajavaa hijab

Allah atujalie mwisho mwema
Huo urarical utakuua... uzuri jamaa hajali mnachowaza kuhusu maisha na imani yake
 
Ila kusema Isa bin Mariam ni Yesu unakuwa hujakufuru!!!

Nyie Waislam ni wapumbavu sana... Mna ujinga mwingi mno akilini mwenu.

Si nyie ndio huwa mnakazana na kushangilia kwelikweli kusema Isa ndio Yesu?

Huyo Yesu anayepatikana kwenye Bible ni Mwana wa Mungu... sasa nyie kila siku mnakazana kumfananisha Isa wenu na Yesu mwana wa Mungu... ila Mo Salah akisherehekea sherehe ya huyo Yesu Mnawaka Moto.

Akili Zenu zina upumbavu mwingi sana...kwa kifupi nyie ni Wapumbavu
 
Christmass asili yake ni sikukuu ya kipagani, haimo kwenye bible na wala Yesu hajawahi kuisherehekea.

Mashabiki wako sahihi kumrudisha katika njia sahihi.

Kwenye uislamu ukipotea njia unakumbushwa, na hapo Mo Salaa anakumbushwa!
Kuna aliyesema kuwa Yesu aliwahi kusherehekea Christmas?

Hiyo njia sahihi mnayotaka kumwelekeza Salah ni ipi?

Kwanza Huyo Yesu anawahusu nini nyie wavaa kobazi?

Nyie si mna Isa wenu? Isa wenu huwa Ana shida gani? Hawezi kujisimamia mwenyewe bila Kujiegemeza kwa Yesu?
 
Eti kwa mujibu wa Uislam..

Sasa Christmas inasherehekewa kwa mujibu wa Uislam?

Hebu acheni ukichaa
 
Nyie kina nani?

Yaani mnataka kupangia watu namna ya Kuishi.... Yaani wewe umpangie Mo Salah namna ya kuishi maisha yake?


Hahahaha... nyie jamaa ni wapumbavu sana
Wapi nimemtaja huyo mchezaji? mimi nimezungumzia kwa mujibu wa uislamu, kuwa sisi tunafuata taratibu za dini yetu na si vinginevyo.

"Na wanapoambiwa: aminini kama walivyoamini watu, {wao} husema, je tuamini kama walivyoamini wapumbavu? sikilizeni! hakika wao ndio wapumbavu, lakini hawajui tu."

Qur'an 2:13

asante.
 
Duh, tamaduni za magharibi zimeshamuathiri, cheki hata mkewe na binti zake wapo uchi, hawajavaa hijab

Allah atujalie mwisho mwema
Angalia vizuri mke wake kavaa kitambaa kichwani. Watoto wake kweli hawajafunika kochwa.
Wote wamevaa mashari ya mikono mirefu na suruali.
 
Sasa kama sio mwenyewe kinacho kuuma ni nini? Wewe endelea na birth day ya Yesu, sie tuna Issa nessiah bin Maryam, sioni haja ya kutukana labda ni chuki zako binfsi dhidi ya Dini tukufu ya haki na ya Allah
 
waislamu bwana ! yani tukiwaambia idi mubaraka wanafurahi na kuitikia ila wao kusema xmass njema ni ngumu
 
Wale watoto wadogo sana si lazima kufunika kichwa.
Stara ya mwanamke wa kiislamu si kufunika kichwa pekee, mwili wa mwanamke wote ni uchi isipokuwa uso na vitanga vyake viwili vya mikono na pamoja na hayo wanawake wa kiswahaba allah awaridhie walikuwa wakifunika nyuso zao mbele za wanaume.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…