Kwani De Lima kwa nini alikuwa anachukua hiyo tuzo (list umeweka mwenyewe) na hajawahi kushinda medali ya UEFA mpaka anastafu.
Kwani ww uonavyo Halaand ana vigezo vipi vya kumshinda Messi ambavyo Messi hana, maana hapa wadau wamekuwekea mpaka reference.
Tap ins goals ndio unasema top performer huu mpira wa LiveScore inabidi muachane naoKwasababu Halland alikuwa ndio most consistence na top performer kwenye team, goli 50 sio ishu ya kitoto ndugu. Football is not all about skills, its about delivering. NA kwa position yake alichokifanya ni kikubwa kuliko mchazaji wa position yoyote ile kwenye timu.
Kwa hoja hizo kwanini Tunzo alizoshinda messi akiwa Barca asishinde Iniesta?
Na tunzo za Ronaldo kwanini asisihinde Modric?
Ucl ndio kila kitu kakwambia nani ?de lima alishinda hivo 2002 ndugu hii ni 2023. KWa sasa Champion league ndio kila kitu, na ndio mana hata Messi na Ronaldo walishinda tunzo huku wakiachwa wachezaji waliopata mafanikio kwenye world cup. Au umepoteza kumbukumbu?
Ebu kabla haujaanza kubishana kwa sababu ushabiki wako kwa Messi, nipatie stats au details za kiwango bora(zaidi ya kushinda kombe la dunia ) ambazo zitamfanya Messi awe tena mshindi wa ballon dior.
Ni issue tu ya mapenzi tu kwa huyu jamaa ndio maana tena atabeba lakini kuna watu lukuki wamefanya vyema zaidi yake kwa kipindi hichi.
View attachment 2792549
Wewe ndiyo umesema kutoka na moyo wako,ila hamna sehemu iliyo andikwa kwamba ukishinda UEFA basi ww unastahili Ballon Dor na ndio maana nikakuomba takwimu na reference.de lima alishinda hivo 2002 ndugu hii ni 2023. KWa sasa Champion league ndio kila kitu, na ndio mana hata Messi na Ronaldo walishinda tunzo huku wakiachwa wachezaji waliopata mafanikio kwenye world cup. Au umepoteza kumbukumbu?
Diego.....Kwani nani alikuwa mchezaji bora wa mashindano 2010 ?
Nani alichukukua Kombe la Dunia 2010, 2014, 2018 ?Mwaka wa kombe la dunia aliyechukua kikombe mara nyingi ukiacha 2018 huwa lazima huyo atoe mchezaji wa Ballon D’or!
Watu wenye akili duniani hawa, mtu kacheza vizuri mechi hazifiki ata 10 ndio apewe hiyo tuzo? Huku msimu wote kwenye club yake hakuwa ata key player. Anyways tunajua fifa bado watampa tu as a farewell to Messi, Fifa's boyToka lini Kombe la dunia likawa lina uzito kwenye Ballondor? Hili ndio swali langu.......
Mechi saba ndio mtu apewe Mchezaji bora wa mwaka? Kuweni serious basi.....
If Ingekuwa hivyo Iniesta Angechukua 2010.
Hii ni ya Messi tu takwimu zinambeba
Kwani Messi msimu uliopita kachukua makombe mangapi ?Diego.....
Vipi Ilikuwaje Messi akachukua Tuzo wakati Kuna watu wamechukua kombe la dunia?
Naomba sababu why messi alipewa.
Ndugu mkongwe.
Kwani Iniesta 2010 alichukua makombe mangapi?Kwani Messi msimu uliopita kachukua makombe mangapi ?
We hujui kitu kuhusu mpira kwa hiyo kombe la dunia na uefa kubwa ni lipi ?Kwani Iniesta 2010 alichukua makombe mangapi?
Mechi saba pekee haziwezi kuwa kipimo cha mchezaji bora anatakiwa kuwa kaperform mashindano mengine pia..
Sio upige Mi penati afu upewe ballon, haikuwa hivyo 2010, 2014, 2018. Why iwe hivyo sasa?
Hilo kombe la dunia limepata Uzito lini? Ambao halikuwa nao decade Nzima iliyopita? Sababu kachukua messi?
Kuna mtu kaandika Kombe fulani ni kubwa kuliko kombe fulani?We hujui kitu kuhusu mpira kwa hiyo kombe la dunia na uefa kubwa ni lipi ?
Hivi unajua haulewi unachoandika
Yeye Messi ndio anajipa hizo TUZO unavosema kapora?Messi mwenyewe world cup kabebwa na akina mac Allister, Jullian Alvarez na enzo fenandez. Performance ya world cup mbappe alifanya vizuri kuliko huyo andunje.
Huyo messi tuzo moja kampora Iniesta, Nyingine kampora Lewandowski. Balon dor za halali alizonazo hazizidi 3
Fwatilia Inter Miami utaelewa.Messi hastahili ni majuha tu ndio wataamua kumpa!!, Nje ya kuchukua kombe la Dunia msimu uliopita kafanya kipi kwenye mpira! Poor Messi poor....
Jibu swali lipi kombe kubwaKuna mtu kaandika Kombe fulani ni kubwa kuliko kombe fulani?
Au ndio unanilisha maneno?
Despite Iniesta Kuchukua kombe la dunia akiwa mchezaji muhimu, akifunga bao pekee la Ushindi 2010. Hakupewa Hiyo ballon dor.
Kupewa ballon dor huwa inaangaliwa performance ya mchezaji mwaka mzima sio upige Vipenati kadhaa then Upewe tuzo.
Naomba nihitimishe majadiliano na wewe, sioni ukitoa hoja yoyote.
Zaidi ya kuniattack mimi.
Ahsante Ndugu "Mkongwe" katika mpira.
Iner miam anafanya nini?, Timu lipo nafasi ya mwisho kila siku linapigika asee!
Luis Mickson a.k.a Konde boy au ikishindikana apewe Hafidh Konkon a.k.a GwajiboyBadala ya Messi apewe nani?
Kombe la kupewa lile. Kila mtu aliona nini kinaendelea kwenye kombe la Dunia. Kombe lile lilikuwa ni sawa na mechi za Simba Ngao ya Jamii au Mechi na Singida kwenye uwanja wa LITI Singida.Yaani kigezo kiwe kombe la Dunia tu?, HAKUNA mchezaji aliyeisaidia timu yake kuchua kombe la Dunia Kama Messi!!
Halland ana makombe 3 mkononi unakuja unaleta story za kombe la Dunia la kupewa asee!