Mbappe kawa man of the match mara ngapi kwenye hii michuano? Na Messi je?Mimi naona hata ile golden ball hakutakiwa kushinda yeye
Mbape alifanya vizuri zaidi katika kombe hili kuliko Messi
Ila ni sababu za marketing tu
Mchezaji bora anakuja kugusa mpira dk ya 70, na penalty 2 za kupewaKwangu mimi katika kikosi cha Argentina, Di Maria alikuwa kwenye kiwango bora zaidi kuliko Messi
Mbappe huyu nilimzungumzia sana jana, huyu ni mchezaji wa kipekee sana ila kinacho mkosti hana fanbase ya kutosha
Kati ya goli 3, 2 zilikuwa penati, penati ya pili walipewa kabisa.Wakati mwingine mkijadili mtumie akili kidogo, mpira ni magoli na tunarukaruka kila yanapoingia.Sasa mwanaume anajikaza anatia goli tatu peke yake wewe unaongea upupu hapa.Wakati mwingine huwa tunajiaibisha sana.Mumpe na uchezaji bora wa dunia na vipenati vyake.
Halafu kugusa kwake kunakuwa na hatari na kwenye kuleta impact kuliko aliyegusa kwa dakika nyingiMchezaji bora anakuja kugusa mpira dk ya 70, na penalty 2 za kupewa
Man of the match haitolewi kwa team iliyooseKwa kweli mambo yamekuwa ya siku nyingi sana mpaka yanakaribia kutapisha sasa.
Messi aliwezaje kushinda tuzo ya Man of The Match katika mechi ya fainali jana mbele ya Mbappe, Martinez au Di Maria?
Kwa kipi kilichomfanya awe mchezaji bora wa mashindano?
Vyombo vya habari vya Magharibi ni ovyo kabisa.
Na Watu tumekuwa hatuna tena uwezo wa kuchambua, tumekuwa tukiishi kwa kukaririshwa tu.
N.B (C. Ronaldo na Neymar nao ni wengine ambao wamekuwa wakibebwa kisiasa.)
Kachukua ulitaka Nani apewe?Kwan Messi Jana kachukua man of the match? Kama ni hivyo basi hayo ni mauzauza ila kwenye mchezaji bora wa mashindano kastahili
Hakunaga mtu anachukua uchazi bora toka team iliyofungwaMessi sio overrated mkuu kama ulivyosema ila kwa jana Mbappe amefanya kazi nzuri.
Una bangi aya tufanye cr7 katishaMimi naona hata ile golden ball hakutakiwa kushinda yeye
Mbape alifanya vizuri zaidi katika kombe hili kuliko Messi
Ila ni sababu za marketing tu
Kweli mkuu naskia ata penalty walizokosa France walipiga ma boss wa FIFACr7 alishasema fifa wanamuandalia messi cup kilazima France waliforce tu kupata draw, binafsi sijaona maajab ya messi yule wa barca.
Kiwango gani sasa[emoji16]Kwangu mimi katika kikosi cha Argentina, Di Maria alikuwa kwenye kiwango bora zaidi kuliko Messi
Mbappe huyu nilimzungumzia sana jana, huyu ni mchezaji wa kipekee sana ila kinacho mkosti hana fanbase ya kutosha
Penalty mbappe kafunga ngapi jana?Wakati mwingine mkijadili mtumie akili kidogo, mpira ni magoli na tunarukaruka kila yanapoingia.Sasa mwanaume anajikaza anatia goli tatu peke yake wewe unaongea upupu hapa.Wakati mwingine huwa tunajiaibisha sana.Mumpe na uchezaji bora wa dunia na vipenati vyake.
Abeid pele tena [emoji16]Pele did it first
Ni kwa sababu tu ya teknolojia kukua hivyo vijana wa sasa mnaona mengi yafanywayo na wachezaji wa sasa.
Lakini mchezaji Abei Pele, mwenye asili ya Ghana amefanya mengi sana ambayo ndio imekuwa kiigizo kwa hawa nyota wa siku hizi.
Pitia video clip hii fupi angalau ujionee. View attachment 2451602
Officer wa FIFA akikosa goalMazumbukuku wa MISS PENATI toka mbeleko FC/Argentina watakuelewa kwa hii inshu kweli [emoji848][emoji16]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Man of the match haitolewi kwa team iliyoose
[emoji16]
Ndo mnavyochaguaga hivyo.Penalty mbappe kafunga ngapi jana?
Ushaona wapi mchezaji bora unatoka kwa team iliyofungwa?
Nitafutie Man of the match toka team iliyofungwa league yeyote nikupe elfu 15 ya sodahiyo kanuni imetoka wapi? mbona sijawahi kuisikia mimi
Hata penati ya argentina ilikuwa nyepesi kwa fainali.Kati ya goli 3, 2 zilikuwa penati, penati ya pili walipewa kabisa.
Ubaya hamuangalii mpira mnachungulia mikeka tu