fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,026
- 22,549
Mesut Ozil, mchezaji wa zamani wa Arsenal, Real Madrid na kiungo wa timu ya taifa ya Ujerumani ametangaza rasmi kustaafu mpira wa miguu akiwa na umri wa miaka 34.
Akiandika katika page yake ya Instagram akisema "Ilikuwa ni dhahiri na sasa ni wazi kuwa muda wa kuacha mpira katika hatua kubwa umefika".
Mechi yake ya mwisho ilikuwa ni February 2 alipofanyiwa mabadiriko baada ya timu yake Basaksehir kufungwa 1-0 katika ligi ya Uturuki. Ilikuwa ni mara yake ya pili kuanza kipindi cha kwanza katika mechi mbili alizozichezea klabu yake hiyo tangia aliposaini akitokea Fenerbahce msimu uliopita.
Sky Sports
Akiandika katika page yake ya Instagram akisema "Ilikuwa ni dhahiri na sasa ni wazi kuwa muda wa kuacha mpira katika hatua kubwa umefika".
Mechi yake ya mwisho ilikuwa ni February 2 alipofanyiwa mabadiriko baada ya timu yake Basaksehir kufungwa 1-0 katika ligi ya Uturuki. Ilikuwa ni mara yake ya pili kuanza kipindi cha kwanza katika mechi mbili alizozichezea klabu yake hiyo tangia aliposaini akitokea Fenerbahce msimu uliopita.
Sky Sports